Kwa ajili yako naandika sauti hii sikia... Zingatia urembo... Usipuuze mrembo... Unamkumbuka Huseni Machozi na wimbo wake wa kwa ajili yako?





Nimeupenda huu uungwana. KudosNimekusoma mkuu...pamoja sana
Dah.. 😀 😀 😀 😎Mshanajr
Waapenda sana kutaabisha
Wataabisha wanajamvi wetu
Sababu za msingi hakuna
Kila ukija waja kimakinikia
Watesa bongo na oblangata
Mishipa ya fahamu yabuma
Kuwaza na kuwazua kitaani
Kupata maana na maanaye
Shida kung'amua barabara
Barabara ya weledini kwetu
Unataabisha jukwaa Mpare
Khaaaa
Bazazi ni Bazazi!