Uchi wa mbuzi

Uchi wa mbuzi

.
tapatalk_1520924999605.jpeg
 
Nimeipenda hii kitu.Umeielezea vizuri kwa lugha nzuri.
Tabia ya mtu haifichami.Sisi tunasema pakapori akizaa na paka wako wa ndani ujue vile vitoto vikikua vitaanza tabia ya kula kuku kama paka pori walivyo na mkitaka kuviua vinakimbilia porini maana ndiyo asili yao.
Tabia ya asili ya mtu haifichami.
 
Juzi nimepita uyole mbeya nimekuta pale kituo cha polisi kuna mvurugano kati ya dereva wa gari na polisi.
Gari iliandikwa nyuma,Kichaa kapewa rungu.Maneno hayo ndo yameleta timbwili.Dereva aliambiwa afute maneno hayo kuwa hayaleti maana nzuri.Ukizama kisheria dereva hana kosa ijapo walifuta.Hata mahakamani ingetokea wakaulizwa maswali wamlete kichaa aliyepewa rungu hawawezi.Ukweli lugha ya picha ni hatari.
 
Na inaelekea moja ya sifa ya kateuliwa na Mungu kuwa Kiongozi wa majini wema, ni kutumia madaraka kiubabe kuzaa na wake za watu. Vinginevyo unaelezaje hilo?
Mhuuuu vipi hapa tena unamaanisha pilato naye ni beberu mtaa wa saba au kibwagizo tu.
 
Haswa pale uotapo kuongoza wale wafanyayo waamulishwayo wala wahamuasi muumba wao
 
Mshana Jr, ni wenye akili tu ndio watakuelewa, ila kwa wale wanaofikiri kwa ile 'kitu ya masaburi' kamwe hawatakuelewa.
 
Back
Top Bottom