Uchawi ni kosa la jinai, Mahakama ikikukuta na hatia unafungwa jela

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049
Kwa mujibu wa Sheria, mtu yeyote kwa kauli au matendo yake akitambulika kuwa ni mchawi au akitengeneza, kutumia au akimiliki zana za kichawi au akimpagtia mtu mwingine zana za uchawi au akimshauri mtu kutumia uchawi au zana za kichawi au akitishia kuloga au kutumia uchawi au zana za kichawi dhidi ya mtu mwingine ni kosa.

Aliyefanya hivyo anatenda kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo gerezani inachoweza kufika miaka saba na kuendelea.
 
Kwa mujibu wa Sheria, mtu yeyote kwa kauli au matendo yake akitambulika kuwa ni mchawi au akitengeneza, kutumia au akimiliki zana za kichawi au akimpagtia mtu mwingine zana za uchawi au akimshauri mtu kutumia uchawi au zana za kichawi au akitishia kuloga au kutumia uchawi au zana za kichawi dhidi ya mtu mwingine ni kosa.

Aliyefanya hivyo anatenda kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo gerezani inachoweza kufika miaka saba na kuendelea.
Haya yote ni kwa mujibu wa sheria gani?
 
Kuna mtu aliwah kutwa kwenye kaburi la watu alishitakiwa na akafungwa

Uchawi ni kosa linaloweza mfunga mtu shida yake ushahidi wake huwa ni mgumu sana
 
Nimesoma sehemu muda sio mrefu, kuna mtu kafungwa huko Kusini (Hukumu imetoka Mahakamani)
Kwa kumgeuza mtoto wa Dada yake kuwa Taahira...!
Nikashangaa
 
Kwa mujibu wa Sheria, mtu yeyote kwa kauli au matendo yake akitambulika kuwa ni mchawi au akitengeneza, kutumia au akimiliki zana za kichawi au akimpagtia mtu mwingine zana za uchawi au akimshauri mtu kutumia uchawi au zana za kichawi au akitishia kuloga au kutumia uchawi au zana za kichawi dhidi ya mtu mwingine ni kosa.

Aliyefanya hivyo anatenda kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo gerezani inachoweza kufika miaka saba na kuendelea.
Sasa inakuwaje wanaposema uchawi hauaminiki serikali wanamaanisha nini?
 
Kwa mujibu wa Sheria, mtu yeyote kwa kauli au matendo yake akitambulika kuwa ni mchawi au akitengeneza, kutumia au akimiliki zana za kichawi au akimpagtia mtu mwingine zana za uchawi au akimshauri mtu kutumia uchawi au zana za kichawi au akitishia kuloga au kutumia uchawi au zana za kichawi dhidi ya mtu mwingine ni kosa.

Aliyefanya hivyo anatenda kosa la jinai na adhabu yake ni kifungo gerezani inachoweza kufika miaka saba na kuendelea.
Mkuu labda ungetaja na kifunguuu ingepunguz sito fahamu
 
Back
Top Bottom