Uchawi Mtwara, Mabomu yanarindima!!

Uchawi Mtwara, Mabomu yanarindima!!

mkuu fujo unafanya kilomita tatu mbali na polisi?? si unafanya papo kwa papo??? sie fujo hazikua long distance ya 3Km mkuu.......... au ya ualimu yana sauti tofauti na injiniaring au sosholojia au hisabati???

LOL

duh! It seems nimezeeka vya kutosha sasa kiasi cha kupoteza uwezo wa kuelewa na kufuatilia mijadala.
Nilidhani tunaongelea umbali ambao sauti inaweza ikasikika, kumbe ulikuwa unamaanisha venue?
Japo nitajionea acha nijipige ban ya wiki nzima kwa kosa la kutoeleweka.
 
duh! It seems nimezeeka vya kutosha sasa kiasi cha kupoteza uwezo wa kuelewa na kufuatilia mijadala.Nilidhani tunaongelea umbali ambao sauti inaweza ikasikika, kumbe ulikuwa unamaanisha venue?Japo nitajionea acha nijipige ban ya wiki nzima kwa kosa la kutoeleweka.
Duh tutakumiss sana mkuu....dont do that
 
Umeona eeh...yaani hapa kimeo changu haikipigi like wala thanks...napata taabu kwelikweli!! lap yangu mbofumbofu hapa we acha tu

Pole bana, tuchange tununue mpya pamoja alafu tunapokezana ktumia.Lolz.
 
hawa ndugu zangu siju vipi tena wananitia aibu sana. iweje wamakonde tunaendekeza hiyo tabia tena!
 
Back
Top Bottom