Uchawi huu wazungu wataupiga vita

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,796
Huyu ni binti wa kinigeria, amekamatwa na police wa huko uingereza baada ya kumgeuza mzungu raia wa nchi hiyo kama mdoli wake(pet)
Kama kuna hili juju basi wazungu watalipiga vita kwa namna zote... Ngoja nikalifanyie utafiti... Nitarejea... Na kama nimefanikiwa nitafungua ofisi Dar yenye matawi Arusha
IMG-20190323-WA0084.jpeg


Jr
 
Wala sio uchawi bali ni kama whipping slave sex iliyowekwa hadharani tu
Hii kuna mbunge mmoja alirekodiwa pia kapandwa kama punda na malaya mmoja hapa Uingereza
Huyu atakuwa ni mmoja wao tu na kaamua kuja hadharani kwa matakwa ya pleasure zao

Sent from my SM-G570F using Tapatalk


Jr
 
Back
Top Bottom