Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,515
- Thread starter
- #161
Sio lazima ni uamuzi tu.Kama unaamini kuna mwanga basi lazima giza pia liwepo
Sio lazima ni uamuzi tu.Kama unaamini kuna mwanga basi lazima giza pia liwepo
Nilimaamisha kwa wenyewe.Haupo kwa mwenyewe nani?
Thibitishauchaw upo
Mimi na wewe ili kwa kuwa na Imani thabiti kwa Mungu tulielewe na tuliishi.
Hainaga uamuzi shilingi ina pande mbiliSio lazima ni uamuzi tu.
Tofauti ni lugha tu,,Nini tofauti kati ya Mapepo na Majini?
Acha kumfanamisha Yesu na hayo majitu.Tofauti ni lugha tu,,
Yesu, yeshua, jesus, issa
Umesoma uzi vizuri??,Je umenielewa?.Km bado hujanielewa njoo tena nikufafanulie,maana unachokoment ni km vile hujanielewa.mk8 kama unamuamini mungu kisha huamini kama uchawi upo basi imani yako ina mashaka, ikiwa maandiko yanathibitisha uchawi upo wewe ni nani hata ukatae maana yake unampinga mungu aliesema kupitia maandiko.
Kwa hiyo Wewe upo upande upi?Imani ni Imani tu...., siamini uchawi per se..., sababu watu mara nyingi wakikumbwa na wasichokijua ukimbilia kwenye majibu rahisi ya uchawi...
Ila pale unapoona imani nyingine (mfano za mababu zetu kabla ya kuletewa mfano hii imani ya wana-Israeli) nadhani unakuwa umepotoka na huwatendei haki mababu zetu kwa kuwaona ni wapuuzi....... (sababu when push comes to shove....., zote ni Imani tu)
Nimewapa ruhusa hiyo tangu jana, naona kimya,nasubiri mwezi uishe halafu nilete mrejeshoKama haupo subiri siku watakapokamua hicho kichwa na kukuachia machicha utaamini
Uamuzi upo,Mungu amekupa uchaguzi wa Nuru au Giza.Hainaga uamuzi shilingi ina pande mbili
Basi uchawi upo sio kama haupo.....bery good studentUamuzi upo,Mungu amekupa uchaguzi wa Nuru au Giza.
Mimi nitaamini tu pale mtu akiniroga,tofauti na hapo naona ni utoporo tu.Uchawi upo sema kutokurogeka napo kupo kutoka na kinga zako za kiroho na mwili, kwamfano umejiweka kwa Munga Sana na wengine wanakinga zao tangu kuzaliwa jinsi ulivyowekewa kinga hasa kitovu chako, na mtu hawezi kukuloga Kama hajui undani wako yaani ndugu wanaweza kukuloga kirahi kuliko mtu baki mfano unaweza kuwa Kuna vitu umebadili Kama jina na vingine hivyo uchawi upo nakutokurogeka kupo.
Mimeshakwambia kuwa hilo ni fumbo la Imani, hivyo huwezi kulielewa kwa akili yako,na wewe si mtu wa kwanza kutolielewa,Wagiriki wa zamani pia walipata tabu sana kumuelewa.Neema ya Mungu ikushukie ili uweze kuelewa mafumbo hayo ya Kimungu.Fumbo kwamba Yesu ni Mungu aliyekufa msalabani, aliyetungikwa na msalabani na viumbe wake, isitoshe akamlilia Mungu mwingine eti:- Eloi eloi lamasabachtan. Mungu Yesu anamlilia msaada Mungu mwingine!!!, sasa uungu wa Yesu upo wapi??
hoja yako ni kupinga uchawi nami nimekujibu kua uchawi upo coz mungu katueleza kupitia maandiko sasa sijui wapi hujaelewaUmesoma uzi vizuri??,Je umenielewa?.Km bado hujanielewa njoo tena nikufafanulie,maana unachokoment ni km vile hujanielewa.