Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 713
- 1,181
Cheka sana, simulia weeee ila omba yasikukute
Kwa maana hiyo tukio hilo limepindishwa kua sio kweli muhammad hakuwahi kupasua mwezi au limepindishwa kwa namna gani?Jibu swali hilo,umeleta habari ya kupasuka kwa mwezi,nimekuuliza hili tukio unelisoma wapi au unesikia ?
Maana yake mtu ambaye amesoma tukio hili hawezi kuandika haya uliyo andika wewe. Sasa jibu swali langu.
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?Wala sijafanya attempt yeyote kupinga kuonesha mimi sio mgonjwa wa akili. Kwangu mimi naona kufanya hivyo ni indication ya kukufanya ulichokiongea kionenekane cha kweli
Ila kama wewe una hakika kua mimi ni mgonjwa wa akili halafu na bado unataka nikuthibitishie sina akili unawapa mashaka watu kua hoja yako ya mimi kutokua na akili ni eidha ni ya kimhemko au ni hallucinations zako
Naelewa ushawahi kulijibu ila nauliza tena jwa purpose kwasababu kuna swali umesema hujaelewa na nataka nianzie hapa kukueleweshaHili nimeshakujibu zaidi ya mara kumi humu. Usiulize swali ambalo unajua jibu langu.
Unajua naandika Kiswahili chepesi sana,hakuna sehemu niliyo kataa kuhusu tukio hilo,ndiyo maana nikasema hivi kwa yule ambaye amesoma tukio hilo,hawezi kuandika haya unayo yaandika. Ndiyo maana nikakuuliza umelisoma hili tukio au umesikia tu kwa watu ?Kwa maana hiyo tukio hilo limepindishwa kua sio kweli muhammad hakuwahi kupasua mwezi au limepindishwa kwa namna gani?
Swali lako halina lengo, halioneshi sababu ya msingi kwanini lijibiweKwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
Nimekwambia hivi walio soma tukio hawahoji kwa mtindo huo,kwanza ulikosea kuuliza kwa kusema mtume alipasua mwezi,ndiyo maana nikakuuliza umesoma tukio hilo ?Swali lako halina lengo, halioneshi sababu ya msingi kwanini lijibiwe
Ili swali lako liwe na mantiki inatakiwa lipinge hoja yangu kua sio kweli muhammad alipasua mwezi, ila kama tukio hilo kwako ni kweli basi utaona kuendelea kutafuta wapi nilipopata hizo habari ni ujinga na kupoteza muda
kama tukio hilo unakubali kua nipo sahihi kusema wewe unakubali hiyo habari, then hoja yako ya mahala nilipoisoma haitakua na mashiko kwasababu haitapinga hoja yangu ambayo tayari umekiri kua tukio hilo lipoUnajua naandika Kiswahili chepesi sana,hakuna sehemu niliyo kataa kuhusu tukio hilo,ndiyo maana nikasema hivi kwa yule ambaye amesoma tukio hilo,hawezi kuandika haya unayo yaandika. Ndiyo maana nikakuuliza umelisoma hili tukio au umesikia tu kwa watu ?
Waliosoma kama hawakatai kua muhammad hakupasua mwezi/kugawanyisha hoja yako ni uselessNimekwambia hivi walio soma tukio hawahoji kwa mtindo huo,kwanza ulikosea kuuliza kwa kusema mtume alipasua mwezi,ndiyo maana nikakuuliza umesoma tukio hilo ?
Sasa naonyesha hujasoma tukio. Swali langu la msingi sana,na halikwepeki.
Waarabu wana msemo wao unao sema hivi "Ukijua sababu ajabu huondoka".
Hivi unasoma ninacho kiandika ?kama tukio hilo unakubali kua nipo sahihi kusema wewe unakubali hiyo habari, then hoja yako ya mahala nilipoisoma haitakua na mashiko kwasababu haitapinga hoja yangu ambayo tayari umekiri kua tukio hilo lipo
Kwa mantiki hiyo sasa hata wewe ni mgonjwa wa akili kwa wale wote walio nje na imani yako
Jibu swali nilo kuuliza.Waliosoma kama hawakatai kua muhammad hakupasua mwezi/kugawanyisha hoja yako ni useless
Ili hoja yako iwe valid inatakiwa madai yangu yawe yakutunga, yani muhammad aonekane kua nimemzushia kuhusu habari za yeye ku split moon into two pieces
kwani kuna swali umeuliza?Jibu swali nilo kuuliza.
kisiaHivi unasoma ninacho kiandika ?
Acha utoto.kwani kuna swali umeuliza?
Huwa sibahatishi.kisia
does it matter?Acha utoto.
Umesoma wapi habari za kupasuka kwa Mwezi ?
kisia sasa tuone kama kweli hubahatishiHuwa sibahatishi.
Una uhakika? Na je, kama ninapita njia nyepesi unataka kusema sina tija? Au, nina vita kubwa lakini sijatambua kama ninawindwa? Au, inawezekana nikawa na kipawa ila nikalindwa na Mungu, na hivyo nisione mauza uza? Naomba jibu tafadhali, nawasilisha kwako mkuu!Umeandika kama umekatwa kichwa.
Wachawi wapo, nimeshawaona kwa macho wakiwa wanawanga usiku.
Majini yapo pia, ni viumbe wasioonekana kwa macho ya kawaida.
Ukiona haujakutana na mambo ya giza basi ujue wewe hauna tija wala umuhimu.
Wachawi na mashetani huwa wanashughulika na watu wenye vipawa na nyota zinazowaka.
Mungu akikujalia vipawa lazima nguvu za giza zikuandame kwa kasi ya ajabu.
Na Mungu anaruhusu hayo ili ujitambue kiroho. Ukishajitambua, vita inakuwa nyepesi.
Kama ulivyosema usichokielewa ndio uchawiKwanza kabisa nimeuliza uchawi ni nini.
Na utajuaje huu ni uchawi na si kitu kingine ambacho si uchawi ila hujakielewa tu.
Hujajibu.
Muandishi wa riwaya za kisayansi wa Kiingereza Arthur C. Clarke alikuwa na usemi wake mmoja naupenda sana.
Alisema " Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".
Yani hata watu kutoka Ulaya walivyokuja na mambo ya gramophone inayopiga muziki, mababu zetu wakaona muziki na sauti za watu zinatoka katika hiki kibox cha gramophone, waliona uchawi.
Hawa mababu zetu wangekuwepo leo wakaona ndege zinaruka, wangeona tunawasiliana kwa simu kutoka pande zote za dunia, wangeita huu ni uchawi.
Kumbe ni sayansi tu.
Hawa watu wa kutoka Ulaya walivyoweza kutabiri lini jua litapatwa (solar eclipse), kwa kujua sayansi tu, walionekana wachawi.
Sasa, uchawi ni nini na wewe unajuaje huu ni uchawi na si kitu kingine ambacho hukijui tu kama babu zetu walivyokuwa hawajui gramophone na jinsi ya kutabiri solar eclipse?