Uchangudoa Kinondoni na Buguruni

Uchangudoa Kinondoni na Buguruni

Wana - Supply "K" kwa ajili demand ipo! Tungeanza kukata mzizi kwanza, ambao ni wateja wao!
Mimi nadhani mzizi hapo ni wasichana. Hebu jiulize, nani ana uamuzi wa mwisho kuhusu kukubaliana kwenda kujamiiana, mwanaume au mwanamke?
 
sinza mwananyamala uwanja wa fisi aiseeee wale wamejenga vijumba vinavyoingia vitanda vya futi moja kwa moja

we ulijuaje ukubwa wa vitanda?:biggrin:
 
hiyo ni fursa mkubwa watu wanaturingia wakati zinauzwa bei chee mchana kweupe mie nataka kumchukua mmoja chap chap

fursa nyingine sio halali ujue? kama kuiba benki hivi
 
Watanzania wengi hawajui kutongoza ndio maana wanakimbilia huku rahisirahisi. Uwekwe mtaala wa kutongoza mashuleni hii kadhia itapungua kama sio kuisha kabisa!

:A S shade::-*:fear:
 
Twende mbele na kurudi nyuma jamani BUGURUNI ni hatari pale pameoza kabisaa!
 
we ulijuaje ukubwa wa vitanda?:biggrin:

nlifika mkuu chapchap kujipatia huduma ila wakaniogopa wakakimbia woote walijua mi askari police nimeenda kuwakamata wapo wa aina zote kuanzia vitoto,mateja wazeee wazazi na kuna vilabu vya gongo na chang'aaa bado kidogo waandamane kunifukuza
 
haya jamani,nimeshafika temeke hapa,nielekezeni mtaa wenyewe,na nyumba ikiwezekana,nimeshavaa kamasutra tayari.
 
ifanyike kidigital...walipe kodi na wapewe zile mashine za TRA kwa ajili ya risti
 
Hapo Temeke wanapaita KWA WAHAYA hakuna malovidavi wala kumshikashika wala maufundi. wewe kazi na malipo biku 2 tu (microfinance)
 
Jamani sijui serikali inasaidia vipi wananchi wake. Maeneo ya Buguruni na Kinondoni hali ni mbaya nyakati za usiku. Wasichana wadogo wanajiuza - wanagawa uroda - ngono inaendelea bila aibu. Huu ni msiba kwa nchi.

Kila kitu serikali. Tumechoka kusikia habari hizo. Serikalia iliwatuma wazazi wa hao mabinit kungonoana?? Mwisho utasema jamani nimebanwa na haja kubwa serikali iko wapi kuja kunisaidia. Nyumba yangu haijapigwa deki wiki tatu. serikali iko wapi kuja kunisaidia kudeki. In short, tumechoka.

 
Tufike sehemu tuwe wakweli, mfumo wa soko hulia (ubepari) ni unyama. Unachukua rasilimali za jamii na kuziweka mikononi mwa wachache, matokeo yake ndio hayo. Tujiulize ni nchi gani ya kibepari haina madanguro (kwa mujibu wa sheria)? Hayo unayoona ni matokeo ya mfumo wa uchumi wa kuwapuuza wengi na kuwasukuma pembenzoni mwa fursa za kiuchumi. ''Huwezi kuungua upele ukaacha kujikuna''.

Nimependa sana analysis yako mkuu!! ili kukomesha biashara hii, tusiwafukuze wala kuwakamata machangudoa, tutakuwa tunatibu ugonjwa badala ya kuzuia maambukizi, so ili kuangamiza kabisa hali hii ni vema tukaangamiza mfumo mzima ambao umewanyima fursa walio wengi na kuwapa wachache ambao ni watoto wa wakubwa tu hapa nchini! kijana anamaliza chuo kikuu hana kazi, wakulima wanalima lakini mzao yao bei chini sana! Lakini watoto wa wakubwa pekee wanapeta tu, Utasikia Kinje! Riz! Rich! n.k. huu siyo mfumo halali uliotegemewa kuibuka hapa nchini miaka hamsini baada ya uhuru! Msikilize mwanamuziki Roma katika wimbo wake mmoja aliposema " Makongoro wa Nyerere si sawa na Riziwani!!!!! hakuna usanii hapo ni full reality mpoooooo??????
 
Tufike sehemu tuwe wakweli, mfumo wa soko hulia (ubepari) ni unyama. Unachukua rasilimali za jamii na kuziweka mikononi mwa wachache, matokeo yake ndio hayo. Tujiulize ni nchi gani ya kibepari haina madanguro (kwa mujibu wa sheria)? Hayo unayoona ni matokeo ya mfumo wa uchumi wa kuwapuuza wengi na kuwasukuma pembenzoni mwa fursa za kiuchumi. ''Huwezi kuungua upele ukaacha kujikuna''.
Na ni nchi gani ya kijamaa haikuwahi kuwa na uzinzi hata kama sio wa ki soko huria? Vipi cuba hata leo, au EASTERN BLOCK yote Enzi za ujamaa?
 
Back
Top Bottom