Uchangudoa Kinondoni na Buguruni

Uchangudoa Kinondoni na Buguruni

Yaani mi sielewagi elewagi ujue........

Kuna siku maeneo ya Sinza nimeona vibinti vidogo yaani

hii ni Kadhia aisee

Vinapunguza kasi ya ubakaji wanawake, nikiwa na kiu buku 3 naenda kula kabang siku imeenda.
 
Tufike sehemu tuwe wakweli, mfumo wa soko hulia (ubepari) ni unyama. Unachukua rasilimali za jamii na kuziweka mikononi mwa wachache, matokeo yake ndio hayo. Tujiulize ni nchi gani ya kibepari haina madagulo (kwa mujibu wa sheria)? Hayo unayoona ni matokeo ya mfumo wa uchumi wa kuwapuuza wengi na kuwasukuma pembenzoni mwa fursa za kiuchumi. ''Huwezi kuungua upele ukaacha kujikuna''.

madanguro
 
Sasa jamani mkiwaondoa hao sisi tusiopenda bugudha za kukimbizana na masista du tutaenda wapi?.
 
Hali imekuwa tete, kuna vitoto na wengine wajawazito unawakuta wanajiuza inauma sana

Sent from my BlackBerry - jamiiforums
 
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe,maisha bora kwa kila mtanzania
 
Kuna demu ananisumbua sana tokea mwaka jana hataki kunipa papuchi kumbe kuna sehemu zinapatikana hata mchana kweupe... tuelekezane fresh njia za kufika huko....eeenh!
 
Kuna demu ananisumbua sana tokea mwaka jana hataki kunipa papuchi kumbe kuna sehemu zinapatikana hata mchana kweupe... tuelekezane fresh njia za kufika huko....eeenh!

sema uko wapi ili uelekezwe vizuri
 
Mkuu ndo fursa zenyewe na ujasiria mali. Serikali iwape TIN no. na kale kamashine ya TRA wapanchi risiti,itaongeza pato la taifa.
 
amu unataka kwenda au?😎

hiyo ni fursa mkubwa watu wanaturingia wakati zinauzwa bei chee mchana kweupe mie nataka kumchukua mmoja chap chap
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom