Uchangudoa Kinondoni na Buguruni

Uchangudoa Kinondoni na Buguruni

Jamani sijui serikali inasaidia vipi wananchi wake. Maeneo ya Buguruni na Kinondoni hali ni mbaya nyakati za usiku. Wasichana wadogo wanajiuza - wanagawa uroda - ngono inaendelea bila aibu. Huu ni msiba kwa nchi.


Mkuu HansMaja sasa unataka serikali ifanye nini wakati viongozi hao hao ndio wateja wenyewe? Unataka kuwanyima raha viongozi wako, wataendeshaje nchi bila kuenjoy raha zao? Si unaona wanayo yafanya kule Dodoma wakati wa Bunge?
 
Last edited by a moderator:
Hata humu kuna watu wamewauzia papuchi nashangaa wanakuja kutoa povu huku wakati mteja!!its not fair

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hakuna vita ngumu kama ya kupambana na biashara ambayo watoa huduma na wateja wanashirikiana....ukitaka kupambana na watoa huduma basi watakaa chini (watoa huduma na wateja wao) kubuni mbinu za kukwepa vikwazo vitakavyowekwa....
 
FYATU umekosea hapo!

Sema hivi! Hakuna tabu kama kupambana na mtoa huduma ambae bidhaa yake anatembea nayo!

Na ukimkamata huwezi kumnyang'anya!

Piga ua Garagaza lazima umuachie aondoke nayo.

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
da hii ishu ni ngumu zaidi ya kawaida....jana niliona video moja ya dangulo la wake za watu na mashuga mami tu huko nairobi ni full aibu....wake za watu walio na heshima mtaani ndo wamejaa pale wanajiuza
 
4]Kamata fursa............ twenzetuuuu..

Teh teh teh teh
 
Back
Top Bottom