Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Mie huwa nawasaidia kwa kuwaungisha ..
Hahaaa Mwenyekiti kwa hiyo na wewe ni mteja wao mzuri...
kweli maisha kusaidiana
Mie huwa nawasaidia kwa kuwaungisha ..
Wanatumia Fulsa zipatikanazo.
Jamani sijui serikali inasaidia vipi wananchi wake. Maeneo ya Buguruni na Kinondoni hali ni mbaya nyakati za usiku. Wasichana wadogo wanajiuza - wanagawa uroda - ngono inaendelea bila aibu. Huu ni msiba kwa nchi.
Yaani mi sielewagi elewagi ujue........
Kuna siku maeneo ya Sinza nimeona vibinti vidogo yaani
hii ni Kadhia aisee
Hiyo ni biashara halali sawa na biashara zingine tu!
Red light-Holland wamepangwa kwenye vyumba vya vioo hadi dada wa kitz wengi tu wapo;Nevada na California utapata kila taifa na hata changudoa wa kiume 'jigaloo' wapo!Nairobi na Adis Ababa ndiyo wao wanaletwa na wakala hadi chumbani kwako.
TZ hatujakoswa na utandawazi kinachotakiwa sasa ni serikali kuboresha kazi za hawa machangudoa!Hapa Kyela wapo kila kona wanakosa tu sera imara toka serikalini!
Aisee.....mie kuna kipindi uncle wangu alialikwa kwenye Semina moja huko Kenya(NAIROBI)
ni machangudoa wana taasisi yao nimeisahau jina na walikuwa wanaelezea wanavyofanya kazi
changamoto....wana Video zao,majarida alinihadithia nikabaki hoi....
Ahahahaha dada yangu ni kazi halali!Tuwaboreshee vitendea kazi tu ili tuanze kukusanya "sin tax" kama wenzetu Nevada!
Aisee mi bado nashangaa......magonjwa je inakuwaje kweli
Mkuu uwanja wa fisi ukilia sana buku 2 wanachukua, Temeke nilikuwa na buku nikamega kabang kwa roho safeyy
mhhhh ya kweli hayo@kipaji halisi alafu wewe nimekumisMie niliona kwa TV...cjawahi fika