Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
Sasa hii ndio Sanaa!...kila mtu atafasiri kwa namna yake!Roma: Nina wasi wasi na waliobaki Mama awaangalie vizuri
Stamina: Kama
Roma: Kaka yetu aliye Hai na yuko Hapi
Stamina: Yule chenga
Roma: Pole Pole hayo mambo sasa ni Musiba njooni chemba
Narudi na nitafikia kwa kaka Bumbuli
Stamina: Hata kwa Mama mdogo yule mwalimu wa Tanga utaishi vizuri