Unamaanisha yule wa U. S. A mwenye titi kubwa kama kisado? Kama ni huyo, atakuwa ni dadaako na sio wa Taifa.Dada wa taifa amepewa challenge inabidi aanze kupiga spana.
Apo sijamaanishaDuu kwahiyo tuliokwenda kuzika na sisi wafu tu
khaaaaahwangemshirikisha wamitego saiv wimbo ungekuwa BASATA.
Raithi wa manthethe in ze building.
(Huyu jamaa hata akiimba kwaya BASATA wanaye tu)
Sijaelewa kuhusu swimming pool ya Rufiji
Kaka yetu aliye hai na yupo hapi!
Naomba mnifafanulie hapo na hizi
Kikoba cha vijana inayoongozwa na kaka
Mama amuangalie kaka yake kwa makini atamfelisha.
Ahsante sanaNiivyoelewa,
Swimming pool la Rufiji ni mradi wa bwawa la umeme Rufiji.
Sabaya na Ali hapi
UVCCM inaongozwa na Heri james
Samia amuangalie Speaker Ndugai.
Kwa uelewa wangu, ila kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake, na ndio kazi ya sanaa kama hizi
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hivi "mkombozi" umeielewaga alichomaanisha?pole sana kaka kiufupi humjui roma
nenda kasiikilize mechi za ugenini, usimsahau mchizi malizia na mkombozi
Yees imekaa poaNiivyoelewa,
Swimming pool la Rufiji ni mradi wa bwawa la umeme Rufiji.
Sabaya na Ali hapi
UVCCM inaongozwa na Heri james
Samia amuangalie Speaker Ndugai.
Kwa uelewa wangu, ila kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake, na ndio kazi ya sanaa kama hizi
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ametajwa kwenye ule mradi wa Bandari bagamoyo.Naomba kujua kaphone kama kuna sehem katajwa kwa namna yyt ile... Maan mwanzo nilijua mjomba aliyemruhusu mradi umulike kisarawe ni kaphone