Ritz JF-Expert Member Jan 1, 2011 46,978 32,387 Jan 18, 2024 #1 Wanaukumbi. Vyama vya siasa ambavyo muda wa ongozi wa viongozi wake unakaribia kuisha, vinakumbushwa kufanya uchaguzi wa viongozi wake kabla ya muda huo kuisha..
Wanaukumbi. Vyama vya siasa ambavyo muda wa ongozi wa viongozi wake unakaribia kuisha, vinakumbushwa kufanya uchaguzi wa viongozi wake kabla ya muda huo kuisha..
Ritz JF-Expert Member Jan 1, 2011 46,978 32,387 Jan 18, 2024 Thread starter #2 Muda umefika sasa wa Mbowe kukaa pembeni kuwaachia viongozi wengine kuomgoza tumechoka kubuluzwa.
J johnthebaptist JF-Expert Member May 27, 2014 83,998 142,026 Jan 18, 2024 #3 Mbowe, Zitto Kabwe, Shehe Ponda nk
J jameson567 JF-Expert Member Mar 14, 2018 360 2,487 Jan 18, 2024 #4 Wanakuja nimewaacha kwenye uzi wa maandamano ya CHADEMA, ila ukishamgusa Mbowe jiandae kwa matusi. Kwao Mbowe huwa hakosei.
Wanakuja nimewaacha kwenye uzi wa maandamano ya CHADEMA, ila ukishamgusa Mbowe jiandae kwa matusi. Kwao Mbowe huwa hakosei.
Tlaatlaah JF-Expert Member May 18, 2023 8,163 11,565 Jan 18, 2024 #5 johnthebaptist said: Mbowe, Zitto Kabwe, Shehe Ponda nk Click to expand... zito kabwe anatoka kuwa kiongozi wa chama na sasa atakua mwenyekiti wa chama...
johnthebaptist said: Mbowe, Zitto Kabwe, Shehe Ponda nk Click to expand... zito kabwe anatoka kuwa kiongozi wa chama na sasa atakua mwenyekiti wa chama...