Jim007 2
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 395
- 247
- Thread starter
- #41
Endeleeni kujidanganya siasa ni mchezo wa akili na hali imebadilikaWatu wa kaskazini hawana tena haja ya kuacha shughuli zao kwenda Kwenye mikutano..
Walishafanya maamuzi siku nyingi sana.. Ni kuifuta ccm kabisaaa.. Na wamefanikiwa kwa asilimia 99