Meya Arusha: Baada ya Rais Samia kuzindua chanjo ya Covid 19 watalii wamiminika mapato ya Jiji kwa Agost ni 116& ya lengo

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,957
141,950
Meya wa Jiji la Arusha amesema uchumi wa jiji hilo sasa umeimarika sana na wananchi wategemee mambo mazuri zaidi.

Meya amesema baada ya Rais Samia kuzindua chanjo ya Corona Watalii wanamiminika jijini Arusha kila siku hali iliyopelekea mapato ya jiji kuongezeka sana na kuvuka malengo ambapo mwezi July wamekusanya 107% ya lengo na Agost 116% ya lengo na matarajio ni kukusanya zaidi na zaidi.

Meya amesema Arusha kwa sasa hali ya kisiasa imetulia kwani wananchi wanachapa kazi chini ushirikiano imara wa DC, DED, Meya na Mbunge.

Chanzo: Ajenda Star tv
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Meya wa Jiji la Arusha amesema uchumi wa jiji hilo sasa umeimarika sana na wananchi wategemee mambo mazuri zaidi.

Meya amesema baada ya Rais Samia kuzindua chanjo ya Corona Watalii wanamiminika jijini Arusha kila siku hali iliyopelekea mapato ya jiji kuongezeka sana na kuvuka malengo ambapo mwezi July wamekusanya 107% ya lengo na Agost 116% ya lengo na matarajio ni kukusanya zaidi na zaidi.

Meya amesema Arusha kwa sasa hali ya kisiasa imetulia kwani wananchi wanachapa kazi chini ushirikiano imara wa DC, DED, Meya na Mbunge.

Source: Ajenda Star tv!

Aibu hii
 
Meya wa Jiji la Arusha amesema uchumi wa jiji hilo sasa umeimarika sana na wananchi wategemee mambo mazuri zaidi.

Meya amesema baada ya Rais Samia kuzindua chanjo ya Corona Watalii wanamiminika jijini Arusha kila siku hali iliyopelekea mapato ya jiji kuongezeka sana na kuvuka malengo ambapo mwezi July wamekusanya 107% ya lengo na Agost 116% ya lengo na matarajio ni kukusanya zaidi na zaidi.

Meya amesema Arusha kwa sasa hali ya kisiasa imetulia kwani wananchi wanachapa kazi chini ushirikiano imara wa DC, DED, Meya na Mbunge.

Source: Ajenda Star tv!
Meya atakua na file mirembe kama mwenyekiti wake marehemu meko
 
Kuja kwa watalii hakutokani ni chanjo hapa nyumbani. Takwimu zinaonesha chini ya watu 500,000 wamechanjwa!!

Sababu kubwa ni chanjo katika mataifa yao ikiambatana na kupungua au kuondolewa kwa masharti ya kusafiri nje ya mipaka ya nchi zao.

Meya anaiona dunia kupitia lenzi ndogo sana. Bado tu hatujasikia kuwa watalii wameongezeka kwa sababu ya kulifufua shirika la ATCL
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ngoja nisubiri comments za Pingapinga FC
Mzee inamaana ww hua unasapoti jambo ambalo halina uhalisia? Mimi kiukwel chadema mamb meng waliyapigia kelele haswa bungeni na ambayo yalikua ni kwel ingaw walipigwa vita mno mpaka kutolewa nje. Tukubali CDM wamefumbua watanzania macho kwa mengi ambayo yalikua ni kificho.
 
Meya wa Jiji la Arusha amesema uchumi wa jiji hilo sasa umeimarika sana na wananchi wategemee mambo mazuri zaidi.

Meya amesema baada ya Rais Samia kuzindua chanjo ya Corona Watalii wanamiminika jijini Arusha kila siku hali iliyopelekea mapato ya jiji kuongezeka sana na kuvuka malengo ambapo mwezi July wamekusanya 107% ya lengo na Agost 116% ya lengo na matarajio ni kukusanya zaidi na zaidi.

Meya amesema Arusha kwa sasa hali ya kisiasa imetulia kwani wananchi wanachapa kazi chini ushirikiano imara wa DC, DED, Meya na Mbunge.

Source: Ajenda Star tv!
Yaani ndo uwezo wake wa kufikiri.
Badala ya kusema tu ukweli kuwa huko wanakotoka watalii wimbi la Corona limepungua na mashariti yamelegezwa,wameanza kusafiri .
 
Kuja kwa watalii hakutokani ni chanjo hapa nyumbani. Takwimu zinaonesha chini ya watu 500,000 wamechanjwa!!

Sababu kubwa ni chanjo katika mataifa yao ikiambatana na kupungua au kuondolewa kwa masharti ya kusafiri nje ya mipaka ya nchi zao.

Meya anaiona dunia kupitia lenzi ndogo sana. Bado tu hatujasikia kuwa watalii wameongezeka kwa sababu ya kulifufua shirika la ATCL
Wakipungua sijui atakuja na hoja ipi lol.
 
Kuchekesho kitupu
Hotel Impalla,Naura Springs, Hotel zote za iliyokuwa TAHI na asilimia kubwa za mjini ama zimefungwa au zimepunguza wafanyakazi kwa kukosa biashara
Huyu Meya katokea Mbulu hajui chochote juu ya biashara ya utalii jijini Arusha,na kama mapato yameongezeka labda kwa vyanzo vingine
 
Kuchekesho kitupu
Hotel Impalla,Naura Springs, Hotel zote za iliyokuwa TAHI na asilimia kubwa za mjini ama zimefungwa au zimepunguza wafanyakazi kwa kukosa biashara
Huyu Meya katokea Mbulu hajui chochote juu ya biashara ya utalii jijini Arusha,na kama mapato yameongezeka labda kwa vyanzo vingine
Kwani Mbulu iko Jiji Arusha?!
 
Meya wa Jiji la Arusha amesema uchumi wa jiji hilo sasa umeimarika sana na wananchi wategemee mambo mazuri zaidi.

Meya amesema baada ya Rais Samia kuzindua chanjo ya Corona Watalii wanamiminika jijini Arusha kila siku hali iliyopelekea mapato ya jiji kuongezeka sana na kuvuka malengo ambapo mwezi July wamekusanya 107% ya lengo na Agost 116% ya lengo na matarajio ni kukusanya zaidi na zaidi.

Meya amesema Arusha kwa sasa hali ya kisiasa imetulia kwani wananchi wanachapa kazi chini ushirikiano imara wa DC, DED, Meya na Mbunge.

Chanzo: Ajenda Star tv
Ingekuw vice versa is true Msingeongelea kabisa
 
Back
Top Bottom