Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 573
- 893
Mbona huu uchaguzi wa Kenya walianza vizuri, watu tukajua ndani ya siku Moja mbili tutamjua Rais , lakini sasa ni takribani siku ya nne mambo bado, kunani tena?
Neno ^njaa^ lenyewe ni baya sana. Sasa likiongezeka ^kali,^ dah! Implication: ready for anything as long as it will bring food on the table.Demokrasia Afrika?
Viongozi wote njaa kali,
It's call FIXING THE TALLIESthis is good African democracy, sit down enjoy and relax, its time to maneuvre just prepare your head.
Kazi iliompeleka Jakaya imeanza
Natamani kuchangia ila basi😁😁Kazi iliompeleka Jakaya imeanza
Kikwete na utaratibu walishindwanahahahaha Extrovert
No hurry in AfricaMbona huu uchaguzi wa Kenya walianza vizuri, watu tukajua ndani ya siku Moja mbili tutamjua Rais , lakini sasa ni takribani siku ya nne mambo bado, kunani tena?