Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,539
- 10,007
KENYA HOLLOW DEMOCRACY
Baada ya Raila kuomba servers za matokeo ya urais ziweke wazi ili ijulikane wazi kumetokea kigugumizi kikubwa kwenye tume ya uchaguzi
Swali la kujiuliza tume ya uchaguzi kenya wanaogopa nin kufungua servers kama ni kweli ruto alishinda au wanasubiria nini
Mim nilikuw ni mtu nayeamin na kuisifia katiba ya kenya ila nimegundua katiba ya kenya inamapungufu mengi sana
Ila Ruto na yeye yuko bize kumshukuru Mungu kumbe aliiba kura ila viongozi wa Afrika ni wanafki sana wanatumia dini kuficha maovu yao
Baada ya Raila kuomba servers za matokeo ya urais ziweke wazi ili ijulikane wazi kumetokea kigugumizi kikubwa kwenye tume ya uchaguzi
Swali la kujiuliza tume ya uchaguzi kenya wanaogopa nin kufungua servers kama ni kweli ruto alishinda au wanasubiria nini
Mim nilikuw ni mtu nayeamin na kuisifia katiba ya kenya ila nimegundua katiba ya kenya inamapungufu mengi sana
- Corruption/rushwa ukiangalia hiki kigugumiz cha tume ya uchaguzi kuweka server open ni wazi Ruto aliiba uchaguzi wanatakiwa waprove kwa kuweka servers wazi na sio vinginevyo
- Ukabila ukiangalia nafasi Ruto alizoteua majority ni wakalenjin alafu wakikuyu sasa kwa nchi ambao ina makabila mengi kwanin katiba haijaongelea swala la uteuzi ambao uko inclusive sababu alichofanya na anachofanya ruto ni kuendeleza ile karata ya ukabila
Ila Ruto na yeye yuko bize kumshukuru Mungu kumbe aliiba kura ila viongozi wa Afrika ni wanafki sana wanatumia dini kuficha maovu yao