X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,680
- 12,253
Ndugu zangu Watanzania, Kila nikiutazama uchaguzi ujao haki vile nabaki mdomo wazi. Mimi ni shabikia mkubwa sana wa serikali iliyopo madarakani. Nampenda sana Rais SSH. na katika ndoto zangu ninazoota naamini ipo siku nitapeana nae mkono🙆{sijui kama ndoto hii itatimia🤣🤣🤣}
Lakini Kila nikitazama kwenye dira ya mambo yajayo simuoni Rais huyu kama anaweza kuja kutuongoza tena Kwa msimu ujao. Japo mzee toboa tobo alisema kuwa Rais ajae ni Samia. Lakini haki vile CCM nawajua ni mabingwa wa sanaa za kubadili gia angani.
Mimi binafsi simuoni Rais Samia akiwa tena pale kwa msimu ujao. Anaweza akaondoka yeye mwenyewe Kwa kupenda kwani kwajinsi anavyoonekana ni kama amechoka kubeba mzigo tuliomtuisha. UONGOZI tena Urais sio mchezo ndugu zangu.
Uchaguzi ujao utakuwa na mambo mengi ya kustaajabisha inawezekana watu wasijitokeze kabisa kupiga kura.
Inawezekana kijana mmoja wa Marais wastaafu akajitokeza kuwania hiyo nafasi.
Inawezekana pia baadhi ya mikoa kukatokea purukushani za hapa na pale. Kama mnavyo jua uchaguzi unavyo kuwaga.
Chama tawala kipo kwenye hali ngumu sana hivi sasa. Ndani Kwa ndani hawaelewani hivyo ni kama uchaguzi huo utawapa wakati mgumu sana. Nguvu ya chama tawala inajulikana ila kutokana na sababu za hapa na pale haswa ule mpasuko ulioigawa CCM kwenye uchaguzi uliopita na baadhi ya wanachama wenye ushawishi kututoka 🙆😭 chama kimebaki kinaelea.
Uchaguzi ujao unaweza ukawapa nguvu kubwa vyama pinzani. Japo sioni kama watapata nguvu kwani kamata kamata ya upinzi itazidi kusonga mbele.
Kwa upande wa upinza ni kama baadhi ya matukio ya kutisha na kuogofya yalio wahi kuwatokea baadhi ya waandamizi wa upinza, yamewarudisha nyuma hivyo ni kama upinzani wanaogopa...{wanadai upinzani ni CCM "B" 🌟🤣🤣🤣}
Uchaguzi ujao utakuwa mgumu sana. Tuzidi kuliombea Taifa. 🙏🙏🙏
N.b
{Narudia ngoja nifanye kazi kwanza}
Lakini Kila nikitazama kwenye dira ya mambo yajayo simuoni Rais huyu kama anaweza kuja kutuongoza tena Kwa msimu ujao. Japo mzee toboa tobo alisema kuwa Rais ajae ni Samia. Lakini haki vile CCM nawajua ni mabingwa wa sanaa za kubadili gia angani.
Mimi binafsi simuoni Rais Samia akiwa tena pale kwa msimu ujao. Anaweza akaondoka yeye mwenyewe Kwa kupenda kwani kwajinsi anavyoonekana ni kama amechoka kubeba mzigo tuliomtuisha. UONGOZI tena Urais sio mchezo ndugu zangu.
Uchaguzi ujao utakuwa na mambo mengi ya kustaajabisha inawezekana watu wasijitokeze kabisa kupiga kura.
Inawezekana kijana mmoja wa Marais wastaafu akajitokeza kuwania hiyo nafasi.
Inawezekana pia baadhi ya mikoa kukatokea purukushani za hapa na pale. Kama mnavyo jua uchaguzi unavyo kuwaga.
Chama tawala kipo kwenye hali ngumu sana hivi sasa. Ndani Kwa ndani hawaelewani hivyo ni kama uchaguzi huo utawapa wakati mgumu sana. Nguvu ya chama tawala inajulikana ila kutokana na sababu za hapa na pale haswa ule mpasuko ulioigawa CCM kwenye uchaguzi uliopita na baadhi ya wanachama wenye ushawishi kututoka 🙆😭 chama kimebaki kinaelea.
Uchaguzi ujao unaweza ukawapa nguvu kubwa vyama pinzani. Japo sioni kama watapata nguvu kwani kamata kamata ya upinzi itazidi kusonga mbele.
Kwa upande wa upinza ni kama baadhi ya matukio ya kutisha na kuogofya yalio wahi kuwatokea baadhi ya waandamizi wa upinza, yamewarudisha nyuma hivyo ni kama upinzani wanaogopa...{wanadai upinzani ni CCM "B" 🌟🤣🤣🤣}
Uchaguzi ujao utakuwa mgumu sana. Tuzidi kuliombea Taifa. 🙏🙏🙏
N.b
{Narudia ngoja nifanye kazi kwanza}