NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
Niko Kyela mjini (sokoni) CCM wanalia....CDM imechukua KITI...
CDM=?
CCM=?
CUF=?
nk
jaza idadi ya kura mkuu.
Niko Kyela mjini (sokoni) CCM wanalia....CDM imechukua KITI...
Arusha mitaa yote ccm wanaongoza, bado kura zinahesabiwa.
nimeona mgombea mmoja akimwaga chozi namfahamu ni kada
Arusha mitaa yote ccm wanaongoza, bado kura zinahesabiwa.
naona chama cha magamba wamebakiza silaha mbili muhimu, Mapingamizi Na Kuchelewesha Vifaa!
Niko huku Kijenge CCM inaongoza ikifuatiwa na CHADEMA kwa mbaaali!
atakuwa kada wa ccm huyo
Daraja mbili CCM inaongoza!
mkuu kwani arusha ccm bado ipo
Huku kwetu UKAWA hawaonekani CCM imechukua mitaa yote kwa 99%.
CDM=?
CCM=?
CUF=?
nk
jaza idadi ya kura mkuu.
Inaongoza kwa kura au kwa mapingamizi? ??