lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Swadakta mkuu Uchaguzi huu ni kwa ajili ya kuwaonesha mabeberu kwamba hat sisi bado tuko kwenye domokrasia na watu wana kikubali sana chama kikongwe na wamechoka na fyama pinga maendeleo na wasio wazalendo. Ndio maana mtu kama mimi bora niendelee kuuza zangu dagaa na sangara nipate ugali kuliko kwenda kwenye usanii au unafiki. Rai yangu siku zote turudi kwenye Chama kimoja maana haitakuwa mara ya kwanza na pia ukizingatia Rais wetu anafanana sana na Mwalimu kwa maana naye alipoona fyama pinzani vitarejesha nyuma mpango wa maendeleo miaka ya Sitini alifutilia mbali vyama hivo so naye afutilie mbali. Na pia ni ushauri wangu akina Mbowe na wenzake waondolewe kabisa katika uongozi wao na wahukumiwe kwa kumuua Akwilina.
Tufute vyama vingi tuwe huru. Pia Katiba impe mamlaka Raisi kuwachagua Watawala wengine kuanzia ngazi ya vitongoji na mitaa hadi huko juu
Tufute vyama vingi tuwe huru. Pia Katiba impe mamlaka Raisi kuwachagua Watawala wengine kuanzia ngazi ya vitongoji na mitaa hadi huko juu
Kwenye hili la mwisho ni hoja inayohitaji kuangaliwa kwa ukaribu zaidi ukizingatia hili swali la mada hii. "Uchaguzi ni wanini basi"? Naona unapendekeza jibu ambalo linafikirisha. Inawezekana uchaguzi kutumika kama namna ya "kuhalalisha" madaraka? Kwamba, lengo la uchaguzi siyo haya mawili niliyoyataja hapo juu bali kuhalalisha uwepo wa watu madarakani?