Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

ungekuwa na nia ya kujua kukikoni basi ungesaidiwa, lakini wewe moja kwa moja unajiuliza swali kisha ukajijibu mwenyewe sasa sisi tukusaidie kivipi?
Hoja nyepesi ktk mambo mazito
 
ungekuwa na nia ya kujua kukikoni basi ungesaidiwa, lakini wewe moja kwa moja unajiuliza swali kisha ukajijibu mwenyewe sasa sisi tukusaidie kivipi?
Huna jibu la swali lililoulizwa bora ukae kimya
 
Unamtetea mtu mwenye kugushi kama huyu jambazi? Au kisa yupo Chadema?

Mkuu CHAMVIGA acha maneno yako, wewe na Mwanadiwani ni wachochezi sana humu JF, mpo kuikashishu CDM na viongozi wake and eventually mnaleta hasira kwa watu na kusababishia ban watu thus why nimemwambia Kamanda Yericko Nyerere atulie kimya.
 
Last edited by a moderator:
mbona hauoji ccm ambao wapo cku zote madarakani? kuwa mwelewa acha kuangalia tu baba ko ni nani ktk ccm,
 
Utanipasua mbavu, teh teh teh nilicheka aliniambia eti nisiliongelee swala la familia wameishalimaliza kifamilia na mzee Butiku, mie ninamlaaumu sana Ben Saanane, kwa kulikalia kimya hilo suala.

Duh mkuu Ritz, Nimefanyaje tena hapa?Huu ni mgogoro wa familia za watu
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri mleta mada ni miongoni mwa watu ambao hawana dhamira nzuri na CHADEMA.Mimi nafiri,ukiangalia mapito Chama kinapopitia,sio muda muda muafaka kufanya uchaguzi kwa mwaka huu.Hata nchi haiwezi kuingia kwenye chaguzi wakati wa vita au misukosuko mizito.Ni vema chama kikahakikisha kwamba kinapambana kwanza na hizi hukumu, na tukio la Arusha,na kuweka hali kuwa shwari,ndipo tuitishe chaguzi.Na mimi napendekeza iwe mwaka kesho.😛eace:
 
Mimi sijasema NENO bali familia ya Mwl. Nyerere ndiyo iliyomtoa nyoka pangoni mwake iliposema hivi,


Hatutaacha kumkumbusha uongo wake aliotenda kwa miaka mingi sana hapa JF kwa kuendelea kudanganya na kudanganya kwa kusema hivi,

Mkuu MwanaDiwani, huyu kijana ni kwanini uongozi wa JF hawajampa adhabu stahiki kwa kosa kubwa hili? kutumia jina la baba wa taifa halafu unaongea uongo kuhusu Mwl Nyerere sio jambo la busara na ni kosa la jinai kupindisha historia! nimeona kwenye hii post upotoshaji anao ufanya, kweli huyu Yericko ni wa kupuuzwa hapa JF!
 
Last edited by a moderator:
wana jf
mwanzoni mwa mwaka huu kulikuwa na tetesi kwamba uchaguzi wa ndani wa viongozi wa chadema utafanyika kuanzia mwezi wa nne 2013, cha ajabu hivi sasa ni mwisho wa june lakini kimya na hakuna kinachoendelea.

Demokrasia iko wapi ndani ya chadema??? kuna rafiki yangu nlikuwa naongea naye kuhusu hili akasema uchaguzi wa nini wakati viongozi wapo?? je hilo jibu ni sahihi kwamba mfumo wa kifalme umerudi Tanzania? Tumezoea kumsikia Augostino Lyatonga Mrema akiwa mwenyekiti wa TLP tangu ahamie chama hicho miaka zaidi ya 15, John cheyo wa UDP na Prof Lipumba ni mwenyekiti wa kudumu wa CUF.

Je hivi vyama ni wale wale??

Baki CCM!... Kila miaka miwili katibu mkuu mpya!
 
wana jf
mwanzoni mwa mwaka huu kulikuwa na tetesi kwamba uchaguzi wa ndani wa viongozi wa chadema utafanyika kuanzia mwezi wa nne 2013, cha ajabu hivi sasa ni mwisho wa june lakini kimya na hakuna kinachoendelea.

Demokrasia iko wapi ndani ya chadema??? kuna rafiki yangu nlikuwa naongea naye kuhusu hili akasema uchaguzi wa nini wakati viongozi wapo?? je hilo jibu ni sahihi kwamba mfumo wa kifalme umerudi Tanzania? Tumezoea kumsikia Augostino Lyatonga Mrema akiwa mwenyekiti wa TLP tangu ahamie chama hicho miaka zaidi ya 15, John cheyo wa UDP na Prof Lipumba ni mwenyekiti wa kudumu wa CUF.

Je hivi vyama ni wale wale??

ni chama cha kifalme hakuna uchaguzi by the way hakuna mtu mwingine chadema mwenye uwezo wa uongozi .

Alitegemewa zito but naye ni kirusi ndani ya chadema.

chama cha kidicteta, kikabila, kikanda na kidini hakiwezi kufanya uchaguzi wa kidemokrasia. wanasubiri tu 2015

Vyama vya upinzani tangu lini kuna uchaguzi? Ukisha shika ni unabaki mpaka chama kife.

CHADEMA wanaogopa kufanya uchaguzi coz wanaogopa chama kugawanyika zaidi

Mfuasi wa sisiemu anaongoza wafuasi wa sisiemu kujadili mada!..
 
wana jf
mwanzoni mwa mwaka huu kulikuwa na tetesi kwamba uchaguzi wa ndani wa viongozi wa chadema utafanyika kuanzia mwezi wa nne 2013, cha ajabu hivi sasa ni mwisho wa june lakini kimya na hakuna kinachoendelea.

Demokrasia iko wapi ndani ya chadema??? kuna rafiki yangu nlikuwa naongea naye kuhusu hili akasema uchaguzi wa nini wakati viongozi wapo?? je hilo jibu ni sahihi kwamba mfumo wa kifalme umerudi Tanzania? Tumezoea kumsikia Augostino Lyatonga Mrema akiwa mwenyekiti wa TLP tangu ahamie chama hicho miaka zaidi ya 15, John cheyo wa UDP na Prof Lipumba ni mwenyekiti wa kudumu wa CUF.

Je hivi vyama ni wale wale??

ni chama cha kifalme hakuna uchaguzi by the way hakuna mtu mwingine chadema mwenye uwezo wa uongozi .

Alitegemewa zito but naye ni kirusi ndani ya chadema.

chama cha kidicteta, kikabila, kikanda na kidini hakiwezi kufanya uchaguzi wa kidemokrasia. wanasubiri tu 2015

Vyama vya upinzani tangu lini kuna uchaguzi? Ukisha shika ni unabaki mpaka chama kife.

CHADEMA wanaogopa kufanya uchaguzi coz wanaogopa chama kugawanyika zaidi

Huu hapa ulikuwa wa haki?
View attachment 99863

Wanapiga kelele kumbe kibanda kinawaka moto?!
 
Mkuu CHAMVIGA acha maneno yako, wewe na Mwanadiwani ni wachochezi sana humu JF, mpo kuikashishu CDM na viongozi wake and eventually mnaleta hasira kwa watu na kusababishia ban watu thus why nimemwambia Kamanda Yericko Nyerere atulie kimya.

Uchochezi gani mkuu wakati jamaa ameamua kuwakana wazazi wake halisi na kujinasibisha na familia ya mwl Nyerere ambayo si ya kwake. Huu ni upuuzi kuwasaliti wazazi wako halisi na kumchagua mzazi mwingine huu ni usaliti kwa wazazi wake.
 
Last edited by a moderator:
Mleta mada naomba nikupe jibu sahihi.
Viongozi walioko madarakani walichaguliwa mwaka 2009 na kipindi chao kinaisha mwaka 2014 tena mwishoni. Sasa uchaguzi kufanyika mwaka huu wa 2013 ni uamuzi wa busara wa viongozi wetu kuwahisha uchaguzi kwa ili kutobananisha uchaguzi wa ndani ya chama na uchaguzi wa serikali ya mtaa.
Kwa hiyo, wadau badala ya kuwashambulia viongozi wetu wangekuwa wanatumia mashambulio hayo kuandika vitu vya ukweli na pongezi nyingi kwa viongozi kupunguza muda wao wa uongzi kwa mwaka mmoja kwa malahi ya chama. Huu ndio ukweli wa 100%. Sina hakika kama viongozi wa ccm wanaliweza hilo.
 
Mleta mada naomba nikupe jibu sahihi.
Viongozi walioko madarakani walichaguliwa mwaka 2009 na kipindi chao kinaisha mwaka 2014 tena mwishoni. Sasa uchaguzi kufanyika mwaka huu wa 2013 ni uamuzi wa busara wa viongozi wetu kuwahisha uchaguzi kwa ili kutobananisha uchaguzi wa ndani ya chama na uchaguzi wa serikali ya mtaa.
Kwa hiyo, wadau badala ya kuwashambulia viongozi wetu wangekuwa wanatumia mashambulio hayo kuandika vitu vya ukweli na pongezi nyingi kwa viongozi kupunguza muda wao wa uongzi kwa mwaka mmoja kwa malahi ya chama. Huu ndio ukweli wa 100%. Sina hakika kama viongozi wa ccm wanaliweza hilo.


Safi kabisa Mkuu walisema wao kwa busara zao na ndio maana wakatangaza hivyo,kilichopo sasa watekeleze?!hiki ndicho hasa watu wanataka!
 
Hili siyo swala la kucheka hata kidogo. Hii zaidi ya identity thief.

Swala la familia gani wakati familia ya Mwl. Nyerere haimfahamu na haitaki kumfahamu zaidi ya kumpa onyo na hili walilielezea kwa uwazi.

Ben Saanane yupi huyo?. Hakuna mtoto wa Mwl. Nyerere anayeitwa Ben Saanane.

Mtu yeyote anayetembea na sumu mfukoni kwa lengo la kudhuru watu lazima kichwani ni tatizo kubwa!!!kwa hiyo yawezekana kabisa si akili yake iliyosema hayo bali ni ile aliyoongezewa!
 
Huku kikijiita ni chama cha democrasia na Maendeleo Bado Mwenyekiti aliepo sasa hana kura alizopigiwa ili kupata Nafasi Hiyoo. Yote tisa Huku miaka ikiyoyoma hakuna dalili za kuitisha Uchaguzi.
1. JE TUAMINI FALSAFA ZA KIKABILA KUA WACHAGA WANAHOFU ZITO KABWE ATACHAKUA FOMU
2.JE NI KUONYESHA WATANZANIA KUA CHAMA HICHO NI CHA KIDIKTETA
3. JE TUAMINI WAJINGA NDIO WANAOBURUZWA KATIKA CHAMA HICHO.
4. JE NI DALILI ZA KUOGOPA CHAMA HICHO KUGAWANYIKA
5. JE VIJANA WANATUMIKIA CHAMA HICHO HAWANA AKILI TIMAMU YA KUHOJI MAMBO


NAOMBA MSIWE NA JAZIBA KATIKA KULITAZAMA HILI NI AIBU CHAMA KUJIITA CHA KIDEMOKRASIA HUKU KIKIIZIKA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA KWANZA...
 
Back
Top Bottom