Niwashukuru sana uongozi wa JF hasa Mods kwa kuusimamia mjadala huu kwa weledi wa hali ya juu sana! Hii ni heshima kubwa sana kwa JF na Tanzania kwa ujumla!
Mwisho,
Wale mliotaka kunifahamu mimii ni nani hasa? Ninawajibu rasmi!
Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere
Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.
Kabila: Ni Mhehe,
Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere, (marehemu)
Mama yangu: Venancia Geremias Mgimwa,
Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College China (BITC)
Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD yanayojishughulisha na Ujenzi wa Majengo, Ujenzi wa Mabarabara, Umeme, Teknohama, Uwakala wa Usafirishaji, Uwekezaji katika Majengo, na Usanifu na Ukadiriaji Majenzi
Kuishi: Kigamboni Mbutu,
Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang
NB:
Mimi sina UNDUGU na Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, lakini chimbuko la Babu yake na Babu yangu Mzee Msambila Kihulo Lihangawike Nyerere "inasemekana" alikuwa ni wa kaskazini mwa Tanzania!
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-tanganyika-na-zanzibar-224.html#post6630081