Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Wewe niwa kupuuzwa tu kutokana na uwongo wako kwa miaka mingi hapa JF kwa kuwadanganya wana JF kama WEWE ni MTOTO wa Mwl. Nyerere wakati huna hata uhusiano wowote ULE.
Kwahiyo MwanaDiwani hapa unataka kututhibitishia kuwa wewe ndiye mama yake mzazi na Yericko Nyerere? manake mtu anayeweza kuongea kwa kujiamini kabisa kwamba wewe si mtoto wa Madelu (kwa mfano) ni mke wa mzee Madelu aliyebeba mimba na kumzaa mtoto wake akamuita jina la mwanadiwani.
Last edited by a moderator: