Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

kuwa mkweli we mbeba sumu chama siyo cha kikabila au cha kikabila na uchaguzi ni lini? acha kubandika matamko kama mnyika.
 
wana jf
mwanzoni mwa mwaka huu kulikuwa na tetesi kwamba uchaguzi wa ndani wa viongozi wa chadema utafanyika kuanzia mwezi wa nne 2013, cha ajabu hivi sasa ni mwisho wa june lakini kimya na hakuna kinachoendelea.

Demokrasia iko wapi ndani ya chadema??? kuna rafiki yangu nlikuwa naongea naye kuhusu hili akasema uchaguzi wa nini wakati viongozi wapo?? je hilo jibu ni sahihi kwamba mfumo wa kifalme umerudi Tanzania? Tumezoea kumsikia Augostino Lyatonga Mrema akiwa mwenyekiti wa TLP tangu ahamie chama hicho miaka zaidi ya 15, John cheyo wa UDP na Prof Lipumba ni mwenyekiti wa kudumu wa CUF.

Je hivi vyama ni wale wale??


Uchaguzi ndani ya Chadema unakuhusu nini? Unataka kujinga na chama hicho au? Acga umbea utasutwa mtaani. Pilipili usizozila zinakuwashaje?
 
Mkuu unataka uchaguzi gani tena wakati Mbowe ni mwenyekiti wa maisha wa Chadema na Dr Slaa ni katibu mkuu wa maisha.

Mbowe ni mswati 78 maana ameatamia madaraka huyu mtu. Na Mimi nitagombea Bavicha na lazima nitashinda. Hiki chama Hiki tusubiri tu mwisho wake unakaribia
 
Uchaguzi ndani ya Chadema unakuhusu nini? Unataka kujinga na chama hicho au? Acga umbea utasutwa mtaani. Pilipili usizozila zinakuwashaje?

Nyie chaguzi hii ukipita salama ole wenu. Nategemea ndio utakuwa mwisho wa Chamdomo.Tusubiri tuwaone mtakavyo bomoka
 
Uchaguzi umeshafanyika nyumbani kwa mzee mtei tengeru. Hakuna uchaguzi mwingine tena.
 
Uchaguzi umeshafanyika nyumbani kwa mzee mtei tengeru. Hakuna uchaguzi mwingine tena.

Ok mkuu kumbe funika kombe mwana haramu apite. Yaani Chamdomo ni chama cha kikabila, ukanda na umangimeza. Full uchaga ndani ya CDM
 
Uchaguzi umeshafanyika nyumbani kwa mzee mtei tengeru. Hakuna uchaguzi mwingine tena.

CDM hakina demokrasia kabisa maana Katibu wao tayari ni Yule babu mpenda wake wa watu
 
kwa hali ya kawaida wewe umeona wapi chama cha kuwindana kuuwana kila kukicha fanyeni uchaguzi au viongozi wenye sifa wameisha?
 
April mpaka leo hivi kuna uchaguzi wa CDM kwa ngazi zilizotajwa umefanyika??? Nadhani hicho ndicho kitu ambacho watu wanataka kujua!.
 
Angekuwa hashine ungemjua wewee.....?? Kwa taarifa yenu hakuna uchaguzi, hawahawa wanaowanyima usingizi mpaka 2015...,

Mtei tayari ameshawateua viongozi wa juu hakuna uchaguzi tena mambo ya ukabila
 
sure mkuu. maana chama kitakuwa vipande vipande. ndo maana wanaabuse internal democracy ili kuzuia hicho kitakachotokea

Tena mchana kweupe......ndio utakuwa mwisho wa Chamdomo ndio maana hawataki kufanya uchaguzi wanajua chamtema kuni
 
Angekuwa hashine ungemjua wewee.....?? Kwa taarifa yenu hakuna uchaguzi, hawahawa wanaowanyima usingizi mpaka 2015...,

dah, kweli nimeamini chadema ni chama cha wachaga, ukanda na udini
 
Back
Top Bottom