Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Mbowe amekuwa mwenyekiti toka lini yakhe ukilinganisha na hao CCM-B wako?
halafu mtu utakaaje kwenye madaraka tangia 2003 hadi leo na unashindwa kukiwezesha chama kushika dola bado unajiona kuwa unafaa kwenye nafasi hiyo. si waachie wengine wanaoweza. tatizo la chadema ni uchaga, udini na ukanda