Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 994
Najiuliza kwa huu mfumo wa uchaguzi wa kesho huko Kenya ambapo CHADEMA kuanzia mwanzo wanafahamika kumuunga mkono Uhuru.
Kwa kuzingatia uchaguzi wa Zanzibar ulivyofanyika inaonekana CCM hawawezi kuupinga huu uchaguzi na tayari twamuona nape akimuunga mkono Uhuru.
Ndio kusema vimeungana kimtazamo kuuhusu huu uchaaguzi?
Kwa kuzingatia uchaguzi wa Zanzibar ulivyofanyika inaonekana CCM hawawezi kuupinga huu uchaguzi na tayari twamuona nape akimuunga mkono Uhuru.
Ndio kusema vimeungana kimtazamo kuuhusu huu uchaaguzi?