Uchaguzi 2020 Uchaguzi mdogo Muhambwe: Dkt. Florence Samizi ashinda kwa kishindo

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Zilikuwa ni kauli za kipuuzi kwa muda wake wa kipuuzi. Tunamshukuru Mungu zimekoma kabisa kabisa.

Mungu akikupa mamlaka usiyatumie kama fimbo kwa kuwa unao uwezo wa kuyatumia kama fimbo na ukapata unachotaka. Tunamshukuru aliyekomesha kauli hii na za aina yake.

Narudia tena "Mungu ni mwema" Nawatakieni wana Kigoma ambapo kuna majimbo mawili ya uchaguzi, uchaguzi mwema usio na vitisho wala mipasho inayotoa jasho na michirizi ya damu yenye michosho!

Kibondo hakukuwa na kipondo vivyo hivyo Mihambwe hakukuwa na ombwe!

2.jpg
1.jpg

----
MATOKEO YA UCHAGUZI JIMBO LA MUHAMBWE
Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe Dkt. Florence Samizi amepata ushindi katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo baada ya kupata kura nyingi zaidi ya wagombea wengine.

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe, Bw. Diocles Rutema amemtangaza Dkt. Samizi kuwa mshindi baada ya kupata kura 23,441.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Bw. Rutema alisema Dkt. Samizi alifuatiwa na Mgombea wa Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Bw. Masabo Julius aliyepata kura 10,847 wakati Mgombea wa Democratic Party (DP), Bw. Philipo Fumbo alikipata kura 368.

Baada ya kutangaza matokeo ya uchaguzi huo Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe, Bw. Diocles Rutema alimkabidhi cheti cha ushindi Dkt. Samizi kama inavyoelekezwa kwa mujibu wa sheria za uchaguzi.

Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe ulifanyika Mei 16 mwaka 2021 pamoja na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Buhigwe katika Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kifoma na Uchaguzi wa Madiwani katika Kata Tano za Tanzania Bara.
 
Lile shenzi halipo tena.

Nchi nzima ina furaha hivi sasa.

Nasikia wanataka kuweka jiwe kubwaaa pale juu ya kaburi ili hata kutoka iwe shida kabisa..wameanza kwanza na hatua ya kuzungusha mabati ili likose hewa kabisa.
 
MATOKEO YA UCHAGUZI JIMBO LA MUHAMBWE
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe, Bw. Diocles Rutema amemkabidhi cheti cha ushindi aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, Dkt. Florence Samizi. Dkt. Samizi ameshinda uchaguzi huo baada ya kupata kura 23,441 akifuatiwa na Mgombea wa Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Bw. Masabo Julius aliyepata kura 10,847 na Mgombea wa Democratic Party (DP), Bw. Philipo Fumbo aliyepata kura 368.
IMG-20210517-WA0001.jpg
IMG-20210517-WA0005.jpg
IMG-20210517-WA0002.jpg
 
Kinachosikitisha ni kuwa hata kama binafsi ni mtu mzuri lakini hamna kitu atakachoenda kuongeza katika Bunge letu tukufu. Sauti yake itapotea tuu katika viitikio vya ndiooooo.

Wananchi wake wataahidiwa vingi, miaka minne itapita bila ahadi kutimizwa na mwaka 2025 watamchagua tena kwa kishindo. Kama walivyofanya kwa tarinan miaka 60 sasa.

Yetu macho.

Amandla....
 
MATOKEO YA UCHAGUZI JIMBO LA MUHAMBWE
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe, Bw. Diocles Rutema amemkabidhi cheti cha ushindi aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, Dkt. Florence Samizi. Dkt. Samizi ameshinda uchaguzi huo baada ya kupata kura 23,441 akifuatiwa na Mgombea wa Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Bw. Masabo Julius aliyepata kura 10,847 na Mgombea wa Democratic Party (DP), Bw. Philipo Fumbo aliyepata kura 368.View attachment 1787933View attachment 1787934View attachment 1787935
 
MATOKEO YA UCHAGUZI JIMBO LA MUHAMBWE

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe, Bw. Diocles Rutema amemkabidhi cheti cha ushindi aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, Dkt. Florence Samizi.

Dkt. Samizi ameshinda uchaguzi huo baada ya kupata kura 23,441 akifuatiwa na Mgombea wa Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Bw. Masabo Julius aliyepata kura 10,847 na Mgombea wa Democratic Party (DP), Bw. Philipo Fumbo aliyepata kura 368.

Kazi Iendelee.

IMG-20210517-WA0000.jpg
IMG_20210516_235704_480.jpg
 
Hongera sana kwa mshindi afanye kazi sasa kuwasaidia Watanzania wenzetu hapo.
 
Lile shenzi halipo tena.

Nchi nzima ina furaha hivi sasa.

Nasikia wanataka kuweka jiwe kubwaaa pale juu ya kaburi ili hata kutoka iwe shida kabisa..wameanza kwanza na hatua ya kuzungusha mabati ili likose hewa kabisa.
Acha hizo mara ohh kura zinaibiwa mara hiki sasa kura zimeibiwa?wananchi hawana imani tena na vyama vya upinzani.hawataki migogoro isiyoisha.wanataka maendeleo na si malumbano.cdm wameogopa nn kuweka mgombea bado uwanja haujawa levelled na lini utakuwa levelled?ati wananchi hawana uelewa nani anawadanganya hivo.wananchi hawataki uhuni na ubabaishaji wa wanasiasa uchwara na hicho ndo kielelezo cha 2025.Kazi inaendelea.
 
Back
Top Bottom