kama waliojiandikisha ni elfu 5 na ushe hivi, basi wakazi wa sehemu hiyo hawazidi 10,000 sana sana 20, 000. je hiyo idadi ya watu na gharama za kumuweka huyo mwakilishi/mbunge ni za busara? hizo fedha zingetumika kuwawekea shule nzuri tu na zahanati au hospitali, infwact hawa wakazi wangekuwa wanaishi kwenye hali iliyo bora
Nadhani huu mjadala ufungwe au mnaona je?
Mjadala ufungwe tena? Watu wanapaswa kuchambua kwanini upinzani ushindwe huko Zanzibar ilhali wananchi hasa wa Pemba wanasadikiwa kutokuipenda CCM. Je kuna mchezo mchafu au ni ushindani wa kawaida? Je wazanzibar wameanza kuichoka CUF kama wabara walivyoanza kuichoka CHADEMA? Je tuhuma kwamba CUF imekuwa ikiibiwa kura na CCM kwenye kila chaguzi kuu ni uzushi mtupu? Mjadala huu hauwezi kufungwa. Lazima tujiulize ni kwanini wananchi wanaonekana kukichoka chama tawala, ilhali inapokuja uchaguzi mdogo, basi CCM bado wanaendelea kushinda. Je wananchi ndio wanafiki? CCM ndio wanaiba kura?
Wananchi wengi bado wanaipenda CCM
Wasioipenda CCM ni wachache sana na wengi wao wanapatikana kama hapa JF.
Muda si mrefu watajitokeza kwenye thread hii.
Na mimi najitokeza kama mmoja ya wananchi wasioipenda CCM. I really hate CCM. Why? You know the reasons. Dont you? Cammon, we dont have to repeat every stuff daily here. Nashauri tu wananchi waache unafiki na waichukie CCM kikweli kweli.
Yeah,
CCM imeshinda kwa ushindi wa Tsunami
Wananchi wengi bado wanaipenda CCM
Wasioipenda CCM ni wachache sana na wengi wao wanapatikana kama hapa JF.
Muda si mrefu watajitokeza kwenye thread hii.
Ndio unavyojidanganya na hao "mabwana" zako unaowatumikia kwa ufisadi..? Ngoja kuna siku mtavalia nguo zenu za ndani vichwani....
usianze mwenzio nna hasira.Jimbo wapiga kura 5,000??
Mbona wacheche sana??
basi yawezekana 20% ya wakazi wa Visiwani ni wanasiasa au wanakula ktk siasa.
Angalia Dar ina watu 4-5 million na ina wabunge 7..yaani kila mbunge anawakilisha watu 600,000 hivi!
usianze mwenzio nna hasira.