Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
lusinde yameanza kugonga chupi.alisema atakunywa sumu chadema ikishinda.sasa hivi kiroho kinadunda kama sekunde.mia
Tutamshikia mtutu kama wa rage mpaka anywe hiyo sumu
lusinde yameanza kugonga chupi.alisema atakunywa sumu chadema ikishinda.sasa hivi kiroho kinadunda kama sekunde.mia
Mfumo wowote ambao hauna mapungufu kama huu. wewe unashaurije?
Kaaazi kweli kweli...Vijana wa ccm baada ya kupewa tshirt, ubwabwa na gongo.
kazi tunayo Igunga.
![]()
Wana igunga tayari wanayafahamu.Kwani matokeo yametangazwa?
tbc wapo live igunga kuna vijana wanalalamika kidogo wamezuiwa kupiga kura
Tunasubiri kushuhudia Lusinde akinywa sumu!ccm kwishneh bana eeehh!!!
vijana wakutosha
Kumbe...Wana igunga tayari wanayafahamu.
Hapo CDM wanasindikiza tu
Waoo! Nimeipenda hiyo Pic.Vijana wa ccm baada ya kupewa tshirt, ubwabwa na gongo.
kazi tunayo Igunga.
[/IMG]
hakuna mfumo ambao una work 100% with no error.
Ninachoshauri, majina wawe wanato 2week kabla ya kupiga kura.
Hawa mlimani tv vpi,mbona nacheki hapa tbc naona vjana kbao wamejtokeza,
Chanel 10 ya wapi unayo angalia wewe? Hivi hivyo tamthiria ya kikanada ndio uchaguzi igunga?Naangalia Channel 10 naona wapiga kura ni wa kuhesabu au wameogopa gari la kumwaga maji ya upupu ,du nilipoona hilo gari nilifikiri ni Ukanda wa Gaza na si Igunga au ndio linatumika kuwatisha wapiga kura,naona hizi mbinu hazina mshiko katika siasa za siku hizi
Teh teh teh
Waoo! Nimeipenda hiyo Pic.
Hapo tunazidi kuona products za CCM zinavyotumiwa na mtu wa kila aina.
CDM wana product yoyote? Ruzuku yote inaishia mfukoni kwa Mbowe na Slaa!
Hata kuwanunulia mama zetu vilemba hawawezi