Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,620
- 5,863
Kama RA yupo ataipigia CDM,
exactly.
Kama RA yupo ataipigia CDM,
na "long" aliovaa inaharibu baraka zote za jpili
Sasa hivi ndio ninaenda kupiga kura baada ya kunywa chai.Nyie mliokuwa mnapiga kelele hapa njoon mpige kura sasa.NAKUUMIA SIRI KIDOGO NAKWENDA KUMPIGIA KAFUMU .WAKINA MAMA WANAFUNIKA HAPA IGUNGA MJINI KWA KUJITOKEZA KWA WINGI.CDM PRESHA JUU,WAMEGUNDUA VIJANA WALIKUA HAWAKUJIANDISHA.NIMEFIKA KITUONI NGOJA NIKAWAMALIZE CDM NINAHASIRA NA NYINYI...BADAE KIDOGO.
Mkuu huo ni ujinga sana kwani ni kosa la nani sasa mpaka umnyime mtu kupiga kura, yani huo mfumo wa daftari unamapungufu sana lakini ujanja ujanja unamwisho
Mkuu kuna watu wamezuiliwa kisa wamepoteza id zao lakini majina yao yapo ITV wanaripoti
CCM tayari imeshashinda!Mnashindaje mkuu wakati wewe unaiogopa Igunga?????????????? hahah ahaha ahahaha a ahahah!!!!!!!!!!!
Usiniamishie mawazo yako.Thanx!
Daudi mchambuzi atakuwa amekuelewa!
naomba igunga mvua isinyeshe leo,na Ngeleja hasikate umeme
Umemaliza?
unataka watumie mfumo gani?
Vijana wa ccm baada ya kupewa tshirt, ubwabwa na gongo.CCM tayari imeshashinda!
Dr Vs mwalimu wa UPE! Unategemea nini hapo?
Kwani matokeo yametangazwa?CCM tayari imeshashinda!
Dr Vs mwalimu wa UPE! Unategemea nini hapo?