Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 242
Hivi hawa wenzetu huko hawana ile namna ya kuiba kura? Kama ingelikuwa ni huku kwetu Uafrikani ushindi mwembamba huo ungeminywa tu na Tume za Uchaguzi!
Marafiki wa magamba chaliiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!Nini kinatokea duniani?
Sarkozy anajiandaa na Hotuba ya kumpongeza mshindi, ila mpaka sasa ashaondoka Ikulu ya Ufaransa "On est dans le maid, ils sont quancé"
Namsubiri na Obama apate kipigo kile kile
Nini kinatokea duniani?
[h=2]Hollande wins French presidential election: estimates[/h]TAGS: Election, Politics, Europe, Mass media
Early numbers show Socialist candidate Francois Hollande secured between 54 and 53 percent of the votes, defeating incumbent President Nicolas Sarcozy.
Sarcozy, according to preliminary exit poll figures, has gotten between 47 and 48 *percent. Numbers also suggest this presidential election was one of the most popular among voters, with turnout reaching a record high of over 80 percent.
Most of the polls have closed, but voting in the major cities is still going on, with the first official results expected at 2000 (1800 GMT)
Rumors of the result spread more than an hour before French media is legally permitted to publish results.
SOURCE: Hollande wins French presidential election - estimates — RT
i think we as a youth of tz should learn from this election,
80% of the voters, 4 sure it real amaze mi,
Marekani sio Ufaransa. Hakuna mtu alidhani Bush angeshinda re-election 2004. Kuna tofauti nyingi sana kati Sarkozy na Obama.
- Sarkozy alichaguliwa mwaka 2007 kabla ya mporomoko wa uchumi v Obama amechaguliwa 2008 after crisis.
- Wamarekani zaidi ya laki saba walikuwa wanapoteza kazi kwa mwezi wakati Obama anaingia leo hii average ya wamarekani laki mbili wanaajiriwa kila mwezi
- Obama ameingia wakati Osama akiwa hai na kuendelea kutishia maisha ya wamarekani, leo hii Osama is a history
- Marekani inatawaliwa na divided government, Republican house v Dems presidency and senate.
- Obama amepitisha sheria ya afya ambayo ilikuwa ni drowning issue ila wamefanikiwa kumpata mpinzani ambaye ni masterminder wa sheria ya afya katika state level. Romney hawezi kuongelea Helathcare law ambayo ni kivuli cha ile aliyoipitisha.
- ....
- ....
MENGINE BAKIZA KUYATOA KWENYE THREAD YETU NA KINA Nyaningabu, susuvili etc muda muafaka ukifika.
Usichanganye marekani na ufaransa kabisa utakuwa unaota ndoto ya mchana. Obama kama angekuwa kwenye ballot 2010 angeshindwa vibaya sana. Ila 2012 ni stori nyingine kabisa. Though elections can go eitherway. Kuanzia August utaona data za kazi zinavyokuwa 400,000 jobs per month for three months. Na hapo utawasikia Republicans wataanza kulia kuwa data za uwongo.
Mie sijasema ufaransa ndo marekani, hata hivyo ufaransa tangu kuwa public huyu ndo rais wa pili kuanguka na wao hawakutegemea hayo kutokea maana walisema historia ya ufaransa ni ngumu kwa rais kutolewa na tena mshoshalisti.
Na hata hivyo safari inaanza na hatua moja, hii hatua inaweza kuanza na Obama nitafurahi sana. Kinachoanisha hapa kati ya sarkozy na Obama ni Sarkozy baba yake ni mtu wa Hungary harafu mama yake ni GREEK-MYAHUDI, wakati Obama baba yake ni mkenya mama yake ni m-Irish sasa unganisha dot ktk ulimwengu huu wa ubaguzi.
Wewe ndiyo unaleta ubaguzi kwanza mwanzo wakati wanachaguliwa walikuwa wamezaliwa na nani?. Hakuna kitu kama hii mkuu, You sound like Republicans who are betting for racial votes ila ninakuambia kuwa kama na US turn out ikiwa 80% Obama will win by landslide
"I take the responsibility for this loss"
Hizo ni remarks za Sarkozy kuhusu matokeo ya uchaguzi yaliyompa Hollande ushindi wa karibia 52% katika uchaguzi mkuu wa France. Sijui viongozi wa kiafrica wanajifunza nini wanapoona wenzao wakikubali kushindwa na kuachia ngazi bila kukuru kakara kuheshimu maamuzi na chaguo la wapiga kura...hii haionyeshi ukomavu wa Demokrasia tu, pia inaonyesha ni kwa kiasi gani wenzetu wamestaarabika.
Namsubiri na Obama apate kipigo kile kile
(a) Obama alikuwa ni mwepesi sana kusindwa ila Republican hawakuleta candidate wa kumshinda Obama; huyu Romney siyo candidate wa kumshinda Obama ingawa atakuwa na pesa nyingi sana mara kumi ya Obama. Kwa hiyo Obama yuko likely kushinda kirahisi sana iwapo hali ya uchumi itabaki kama ilivyo sasa. Obama ataweza kushundwa kutokana na mvurugano wa uchumi utakaotokea huko Ulaya baada ya uchaguzi huu.
(b) Iwapo Sarkozy kashindwa kwa sababu ya sera zake, basi hali hiyo itakuwa ni nzuri sana kwa Obama kwa vile sera za Sarkozy zilikuwa sana kabisa na zile zinazotumiwa na Republicans, na huyu mshindi amekuwa anaahadi sera zionazofanana za zile za Obama.