na kule uk kulikua na local council elections conservatives wameanguka vibaya... sasa hivi europe hali ya vyama vinavyotawala ni mbaya....hali ya uchumi ni ngumu wananchi wamechoka...kuanguka kwa sarkozy kuta affect sana EU maana france na germany ndio walikua kwenye tight deals za kuokoa uchumi za nchi ndogo within eu kama greece, portugal and so forth....
it was always going to be about government spending vs spending cuts...
Bwana Sarkozy alikumbatia sana mafisadi na mpaka wakawa wanakaribia kuifilisi nchi kwa kuchukua pesa kwenye mabenki kwa kujifanya wanawekeza kwenye biashara uchwara.
Lakini kilichomwangusha ni kauli yake kwa wafaransa walio wengi ambao ni wafanyakazi kwamba wasoshalist hawajui kuwajibika kwa kujituma kufanya kazi.
Kauli hiyo imemcost sana na aende zake kwani miaka kumi inamtosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.