Uchaguzi France

Uchaguzi France

tatizo la kwetu ni kwamba tuna wanasiasa waliofanya siasa ni ajira. Bila siasa hawawezi kuishi. Bila siasa hawawezi kushinda zabuni
 
Wenyew wanakuja..... Subir usutwee!!!!!? Agrrrrrrrrr.
Tunampongeza Rais mpya wa ufaransa! Lakini CCM ni chama imara na chenye wanachama wengi sana ambao wako tayari kujitoa kwa ari zaidi,nguvu zaidi na kasi zaidi kukiimarisha chama ili kiweze kuleta maendeleo kwa Taifa letu hiyo ya ufaransa ni changamoto tu inayokifanya CCM kijipange vizuri ili kizidi kuwatumikia watanzania.Nyie mnaofikiria kushinda chaguzi kwa kuonewa huruma mtasubili sana kwani kwa Tanzania hakuna chama bora na chenye mwelekeo sahihi kama CCM.
CCM OYEEEE...................................................
 
Hizi austerity policy zilizochukuliwa na Conservatives European goverments ndio zinawaangusha,hizi austerity/cut policies sound safi sana lakini practically is just a disaster ndio maana nchi nyingi za Europe na Britain ya Cameroon zimefall tena in double dip recession na wasipobadilisha wataendelea kuwa maskini tuu na conservatives government zote zitaangusha kwa ajiri ya hii,Obama aliamua tofauti sana na wenzake ndio maana Economy is growing ingawaje wapinzani wake hawataki kukubali wamebaki kusema we can do better lakini at the same time ukiangalia details zao wanataka kufanya walichofanya wenzao wa Europe cut cut cut etc hope Americans are paying attention la sivyo Republican wakichukua tuu ujue dunia nzima itakuwa in recession
 
Sarkozy asubiri kesi na kufika mahakamani kujibu madai atakayoundiwa(bambikiwa). Ni kawaida kwa viongozi wa Ufaransa baada ya kuanguka au kumaliza kipindi cha uongozi kufunguliwa mashtaka.

Shtaka moja litakalomkabili ni kukubali kupokea pesa kutoka Libya kwa ajili ya uchaguzi uliomuingiza madarakani na kukalia kiti cha urais.

Nicolas Sarkozy loses his judicial immunity on Saturday. France's former president may soon face an embarrassing grilling by French prosecutors over a series of party funding allegations that had dogged his term in office.

Link hii Sarkozy comes under the radar of French prosecutors - FRANCE - FRANCE 24
 
Back
Top Bottom