TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Kwa sasa kinachompata Sarkozy katika uchaguzi juu ya namna alivyoingia ikulu ya UFARASA kwa mara ya kwanza kunadhihirisha udhalimu wa Rais huyu. Kwani ameweza "kumchinjia baharini" mtu aliyechangia kwa kiasi kikubwa kumuingiza madarakani. Kuwa makini sana na watu wa namna hii. Litakuwa jambo jema kama atakuwa Rais wa muhula mmoja.
Nilipo post habari hii hapa chini katika uzi wa Rise and Fall of Col. Gaddaf( post # 2358 ya tarehe 6-04-2011) wengi walidhani ni uzushi. Sasa ukweli umejulikana>>> http://www.uruknet.info/?p=m87618&fb=1
Nilipo post habari hii hapa chini katika uzi wa Rise and Fall of Col. Gaddaf( post # 2358 ya tarehe 6-04-2011) wengi walidhani ni uzushi. Sasa ukweli umejulikana>>> http://www.uruknet.info/?p=m87618&fb=1
SarKozy anadaiwa na wanamchi wa libya Pesa alizotumia kwenye Kampeni za Uchaguzi mwaka 2007.....
Hebu mwanaJF fuatilia kisa hiki hapa chini......
The reason for Sarkozy wanting the complete and total destruction of Libya lies in the threats made against him last week by the Libyan leaders son, Saif al-Islam Gaddafi, who threatened to reveal a grave secret that would bring down the embattled French President.
The grave secret feared by Sarkozy we can further read about as reported Londons Guardian News Service, and which, in part, says:
Muammar Gaddafis son has claimed that Libya helped finance Nicolas Sarkozys successful election campaign in 2007, and demanded that the French president return the money to the Libyan people.
In an interview with the Euronews TV channel, Saif al-Islam Gaddafi said Libya had details of bank transfers and was ready to make them public in a move designed to punish Sarkozy for throwing his weight behind opposition forces.
Source>>>>> Russia Reports France Threat Against Obama Brought