Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,216
Naona kuna makamanda wawili watatu hivi shupavu.
Soma katiba ya Chadema iliyopitishwa na Msajili wa vyama vya siasaKaimu Mwenyekiti?!
Nafasi ya kukaimu inagombewa?
Chadema wote ni MakamandaNaona kuna makamanda wawili watatu hivi shupavu.
Kwahiyo Halima James Mdee bado ni mwenyekiti wa Bawacha?Soma katiba ya Chadema iliyopitishwa na Msajili wa vyama vya siasa
Kaimu Mwenyekiti?!
Nafasi ya kukaimu inagombewa?
Hujajibu swali bwashee.Unaumia sana na CHADEMA Jo
swali la kijinga sana !Kwahiyo Halima James Mdee bado ni mwenyekiti wa Bawacha?
Sasa kwanini Suzan Kiwanga anagombea kukaimu?swali la kijinga sana !
Elewesha tu swali liko sahihi, haijawahi kutokea mtu akagombea na kupigiwa kura kukaimu, mfano kwa hapo ilipo kuna mtu anakaimu hiyo/hizo nafasi zilizo wazi kwa sasa.swali la kijinga sana !
sasa huyo mtu huwa wapi wakati nafasi yake inakaimiwa ?Maana ya neno kaimu ni kushika nafasi ya mtu hadi pale nafasi hiyo itakapojazwa rasmi. Nimefikiria pia hapo ila labda ndivyo katiba inasema hatujui.
Chadema haijawahi kuhusika na uzushi , hebu rekebisha hilo kwanza , halafu kama chadema ilikufa baada ya Dr Slaa kuondoka , hofu yako inatoka wapi ?Kwa sakata hili la kumpakazia kifo Rais wa Jamhuri ya Tanzania aaah!! kwa kweli sidhani kama kuna mtanazania hata mmoja atawasilikiza na kuwaamini tena, mmejiaribia sana tena sanaa..Nilikipenda sana Chadema lakini kwa sasa nakichukia mnooo.Mmekuwa sio Chama cha siasa bali wahaini sasa na watu wa kuchekelea na kufurahia matatizo anayopitia Rais wa Nchi yenu pendwa,lakini kwa uroho wenu wa Madaraka mpo tayari kuivuruga na kuwapa Wananchi taharuki za ajabu ajabu, uzushi wa ajabu ajabu..Hamna la maana lolote mnalojua zaidi ya mafumbo mafumbo tuu ya uzushi.Na hapa ndio naamini kweli wananchi waliwakataa kwenye sanduku la kura kihalali kabisaaaaaaaaaaaa, na wataendelea kuwakataa mpaka hapo mtakapojua kwamba kelele zenu na uzushi wenu mnaomzushia Rais unawalenga watu tofauti pia sio huyo Rais tuu hata kama mna chuki nae,..Mmebakia kuwa genge la wahuni wa mitandao tuu ,CHADEMA ilishakufa pale Dr Slaa walivyoondoka.. kilichobakia uhuni uhuni tuu mitandaoni.
Atakua kamili baada ya uchaguzi kuishaKwanini kaimu badala ya kuwa mwenyekiti kamili?
Heri Piere Liquid.Kwa sakata hili la kumpakazia kifo Rais wa Jamhuri ya Tanzania aaah!! kwa kweli sidhani kama kuna mtanazania hata mmoja atawasilikiza na kuwaamini tena, mmejiaribia sana tena sanaa..Nilikipenda sana Chadema lakini kwa sasa nakichukia mnooo.Mmekuwa sio Chama cha siasa bali wahaini sasa na watu wa kuchekelea na kufurahia matatizo anayopitia Rais wa Nchi yenu pendwa,lakini kwa uroho wenu wa Madaraka mpo tayari kuivuruga na kuwapa Wananchi taharuki za ajabu ajabu, uzushi wa ajabu ajabu..Hamna la maana lolote mnalojua zaidi ya mafumbo mafumbo tuu ya uzushi.Na hapa ndio naamini kweli wananchi waliwakataa kwenye sanduku la kura kihalali kabisaaaaaaaaaaaa, na wataendelea kuwakataa mpaka hapo mtakapojua kwamba kelele zenu na uzushi wenu mnaomzushia Rais unawalenga watu tofauti pia sio huyo Rais tuu hata kama mna chuki nae,..Mmebakia kuwa genge la wahuni wa mitandao tuu ,CHADEMA ilishakufa pale Dr Slaa walivyoondoka.. kilichobakia uhuni uhuni tuu mitandaoni.