Uchaguzi BAWACHA: Majina ya waliorejesha fomu za kugombea uongozi haya hapa

Unachosema ni kwamba Mwenyekiti na Naibu Mwenyekiti huwa wanateuliwa na kuthibitishwa na Mkutano Mkuu? If yes, hao “wateuliwa” wanaweza kuwa watu tofauti na hawa makaimu waliochaguliwa? Kama ni watu tofauti, hawa makaimu hatma yao huwa inakuwaje?

Bora kuwasaidia watu kuliko wale wengine wanaojibu kwa jazba na kashfa
Ninavyoelewa ni kuwa hivyo vyeo sio vya uteuzi. Mkutano Mkuu ukiitwa, watakaokua wanakaimu wakati huo wanaweza kusimama kuomba wachaguliwe ili katika nafasi hizo au nyingine (k.m. kaimu Mwenyekiti anaweza kugombea u Naibu Mwenyekiti). Aidha wanaweza kuamua kutoziomba hizo nafasi na kuwaachia wengine kuzigombania. Ingawa kinadharia wanaweza kuzipoteza hizo nafasi, uwezekano mkubwa ni wao kushinda na hivyo kuthibitishwa katika hizo nafasi. Wakishindwa watabakia kwenye vyeo walivyokuwa navyo awali. Ila kama hawataridhika na jinsi uchaguzi ulivyofanyika watakuwa na uhuru wa kujitoa kwenye chama kama alivyofanya Sumaye.

Nahisi Mkutano Mkuu uko karibuni ili kusikiliza rufaa za waliokuwa kwenye nafasi hiyo pamoja na mambo mengine. Labda mara baada ya rufaa watachagua watu wa kujaza hizi nafasi.

Amandla....
 
Huo mkutano mkuu wa Chadema wanaume wanahudhuria?

Yaani mwenyekiti wa Bawacha anachaguliwa na mkutano mkuu wa Chadema badala ya mkutano mkuu wa Bawacha?

Huu ni mfumo dume uliopitiliza!
Kwani Wenyeviti wa UWT na UVCMM wanachaguliwa na wanawake na vijana peke yao?

Amandla....
 
Mkuu kubali tu kuwa huna majibu ila nafasi ya kukaimu huwa mtu anakuwa appointed kwa muda flani hatutegemei mtu agombee kukaimu nafasi kwani huwa mtu anapokaimu inakua ni kusubiria mtu aje kuishika hiyo nafasi kwa kulingana na taratibu husika.
umeokota kwenye katiba ipi huo uchafu wako ? Taasisi yoyote ina katiba yake , humo ndio huwekwa namna ya kufanya .
 
umeokota kwenye katiba ipi huo uchafu wako ? Taasisi yoyote ina katiba yake , humo ndio huwekwa namna ya kufanya .
Hiyo katiba inayoweka cheo cha kukaimu kufanyiwa uchaguzi kwa njia ya kura ama ni uhar.o ama ni maf.i ya kuku.
 
Back
Top Bottom