chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
Hofu yake nahisi,anapoona,chadema imepoteza mwelekeo.Chadema haijawahi kuhusika na uzushi , hebu rekebisha hilo kwanza , halafu kama chadema ilikufa baada ya Dr Slaa kuondoka , hofu yako inatoka wapi ?