Uchaguzi Angola: Chama Tawala chashinda, Upinzani wagomea matokeo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Chama Tawala cha Marxist People's Movement for the Liberation of Angola (MPLA) kimepata ushindi wa 51.17% baada ya kura zote kuhesabiwa kikifuatiwa na National Union for the Total Independence of Angola (UNITA) kilichopata 43.95%.

Kiongozi wa UNITA, Adalberto Costa Junior amekataa matokeo hayo, akitaja hitilafu wakati wa kuhesabu Kura ambapo wachambuzi wanahofia hali hiyo inaweza kuzua maandamano ya watu ikiwemo vijana wenye malalamiko ya kukosa ajira na mitaji.

Idadi ndogo ya wapiga Kura ilijitokeza kushiriki Uchaguzi ambao, licha ya kuwa na mchuano mkali, unarefusha utawala wa MPLA ambao umetawala tangu uhuru mwaka 1975.

=================================

Angola's electoral commission on Monday declared the ruling MPLA, in power for nearly five decades since independence, the winner of last week's national election, handing President Joao Lourenco a second term amid concerns about possible fraud.

The commission gave the ex-Marxist People's Movement for the Liberation of Angola (MPLA) a 51.17% majority after all votes were counted. Its longtime opponent, the National Union for the Total Independence of Angola, or UNITA, got 43.95%, its best result ever.

Fewer than half of Angola's registered voters turned out for Wednesday's election which, despite being the closest fought yet, extends the rule of the MPLA that has ruled since independence from Portugal in 1975 and defeated UNITA in a long civil war.

UNITA leader Adalberto Costa Junior has rejected the results, citing discrepancies between the commission's count and the main opposition coalition's own tally.

Analysts fear any dispute could ignite mass street protests and possible violence among a poor and frustrated youth who voted for Costa Junior.

REUTERS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom