Uchaguzi 2025 nachagua Rais wa wanaume

Uchaguzi 2025 nachagua Rais wa wanaume

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
17,189
Reaction score
16,867
Iko siku wanaume wataonekana hawana jema hata moja walilotenda jana, leo na hata kesho kama tutachagua wanaharakati wa jenda. Mimi mwalimu wangu mkuu katika somo la uumbaji ni viumbe wengine ambao siyo binadamu.

Kwakuwa Mungu ndiye aliyetuumba sisi na viumbe wote bila shaka kuna vitu na tabia amekusudia viwe sawa kwa viumbe wote na viumbe wote wa jinsia moja. Kwakuwa viumbe wote wanahitaji hewa, maji, chakula, kuzaa, kusogea, kwenda haja ndogo na kubwa na wanahisi joto, baridi na maumivu basi Mungu alitenda sawa kwa viumbe wote na tofauti ndogo sana kwa kazi maalumu.

Mimi nimefuga sana njiwa, kuku, bata, mbuzi, ng'ombe na mbwa. Nimechunga sana na kuwahudumia wanyama hawa tangu utotoni mpaka nikajifunza vitu vingi sana juu yao kiasi kwamba nilikuwa nikijirekebisha tabia yangu kwa kuwaangalia wanyama na ndege wanafanya na hawafanyi nini kwenye matukio tofautitofauti.

Sikuwahi kuona dume la mnyama, wala ndege, wala mdudu linalotunza wanawake. Wanawake wetu wanataka watunzwe na wanaume.

Picha tunayojengewa jamii hivi sasa ni ile ya wanaume ni wabaya sana, siyo wazuri, ni makatili, ni wezi, hawajui, hawana uchungu wala huruma, ni matajiri kuliko wanaume, wanapiga wanawake, wanadhulumu wanawake, hawafai, hivyo hawastahili hiki na kile. Kama jambo likisemwa sana mwinshowe inageuka kanuni, sheria na tabia.

Mbona hivi wanaume wanavyoishi na wake zao ndivyo hivyo na wanyama na ndege wanavyoishi na wanawake zao? Mimi sijawahi kuona jogoo anakwenda kumsaidia mkewe kuatamia mayai, wala kumpelekea chakula pale kwenye kiota.

Sijawahi kuona beberu anaruhusu beberu mwingine anatembea na mkewe akamuacha hivihivi. Sijawahi kuona kuku, ng'ombe, simba, mbwa wanaruhusu uchezee watoto wake kipumbavu lazima watakufanyia jambo ujue kuwa wanauchungu na watoto wao.

Lakini pia sijawahi kuona jike la kuku, simba, mbuzi , ng'ombe, nyati, mbwa, nzige, nyuki mkali linakataza mume wake asitembee na majike wengine kwenye kundi.

Mbona wanaume sisi tukiyafanya haya tunaonekana mabaladhuli tunaoonea wanawake? Kwanini sisi tunae Mungu wetu peke yetu na wanyama wana wa kwao?

Mwaka 2025 tunataka viongozi ambao wanawatendea haki wanaume kwa mujibu wa maumbile ya mwenyezi Mungu. Tuepuke wanaharakati wasiyopenda wanaume au wanawake, kila jinsia ipate haki yake kwa mujimu wa maumbile na makusudio ya muumbaji. Wanyama ndiyo wawe walimu wetu kwenye mambo ya jenda.

Kwakuanzia usichague mgombea ambae Hana mke, Hana mume, wametengana, ametelekezwa au anatumza watoto peke yake. Kiongozi wa hivi atalalia upande TU, atahamishia ugomvi wake upande ulee wenye ugomvi nae.
 
NI WATU WENYE TABIA NA ROHO ZA KISHETANI NDIO WANAJITAHIDI KAMPENI ZAO.

UKATILI WA KIJINSIA UKISIKIA UJUE NI WANAWAKE...

MWANAUME HATA UKIENDA KUSHTAKI UNANYANYASWA KIJINSIA HAWATOLICHUKULIA UZITO SUALA LAKO...

HII NCHI JAMANI MKOME KUWAPA UONGOZI WA KIMAMLAKA WANAWAKE...IWE URAISI, UMAKAMU AU UWAZIRI MKUU. Mwanamke nafasi ya chini huku kuagizwa. Ili in case of anything TUSIJE YAKATUKUTA TENA KAMA HAYA YALIYOTUKUTA.

BORA NCHI UUMPE MTOTO MDOGO WA KIUME KULIKO KUMPA MWANAMKE MTU MZIMA MWENYE AKILI TIMAMU.
 
NI WATU WENYE TABIA NA ROHO ZA KISHETANI NDIO WANAJITAHIDI KAMPENI ZAO.

UKATILI WA KIJINSIA UKISIKIA UJUE NI WANAWAKE...

MWANAUME HATA UKIENDA KUSHTAKI UNANYANYASWA KIJINSIA HAWATOLICHUKULIA UZITO SUALA LAKO...

HII NCHI JAMANI MKOME KUWAPA UONGOZI WA KIMAMLAKA WANAWAKE...IWE URAISI, UMAKAMU AU UWAZIRI MKUU. Mwanamke nafasi ya chini huku kuagizwa. Ili in case of anything TUSIJE YAKATUKUTA TENA KAMA HAYA YALIYOTUKUTA.

BORA NCHI UUMPE MTOTO MDOGO WA KIUME KULIKO KUMPA MWANAMKE MTU MZIMA MWENYE AKILI TIMAMU.
Pole
 
Nimesoma yote
Tunajenga taifa linalopigana kati ya wanaume na wanawake wakati 99.9% ya watu wote wake kwa waume wanalala nyumba zilizojengwa na wanaume, wanakula vyakula vilitafutwa na wanaume, wanavaa nguo zilizonunuliwa na wanaume wanalala gesti zilizolipiwa na wanaume, wanakunywa vinywaji (pombe, soda) zilizonunuliwa na wanaume, wanapanda magari ya wanaume, wanaendeshwa na madereva wanaume, nyamachoma zinachomwa na wanaume. Kosa la mwanaume ni lipi kiasi Cha kusakamwa kiasi hiki. Wanaume tukumbushane 2025 ili kuhoji sera za wagombea ili ofisi za serikali zisigeuzwe ofisi za wanaharakati na madawati ya jinsia takwimu Sasa hivi zinaonyesha kuwa wanawake wanapata elimu kuliko wanaume kwenye nyanja zote. Wanaume wanazidi kuwa mazombi hakuna wa kuwasemea hata viongozi wanaume hawasemi hili kwa unafiki na uchawa.
 
Mungu alimpa mwanamume mamlaka, maana aliweka kwake upendo. Lakini kwa mwanamke aliweka uchungu.
 
Wanataka waiteke dunia na Tz, wanaume tuamke tujue hatuko salama sana. Tusijidanganye eti kwa kuendelea kuoneshwa wanawake ni dhaifu sana, udhaifu wao walipewa n Mungu na siyo wanaume. Hivyo kama ni kosa walipewa na muumba wao tusitwishwe sisi, hatujawaumba site.

Naunga mkono hoja!
 
NI WATU WENYE TABIA NA ROHO ZA KISHETANI NDIO WANAJITAHIDI KAMPENI ZAO.

UKATILI WA KIJINSIA UKISIKIA UJUE NI WANAWAKE...

MWANAUME HATA UKIENDA KUSHTAKI UNANYANYASWA KIJINSIA HAWATOLICHUKULIA UZITO SUALA LAKO...

HII NCHI JAMANI MKOME KUWAPA UONGOZI WA KIMAMLAKA WANAWAKE...IWE URAISI, UMAKAMU AU UWAZIRI MKUU. Mwanamke nafasi ya chini huku kuagizwa. Ili in case of anything TUSIJE YAKATUKUTA TENA KAMA HAYA YALIYOTUKUTA.

BORA NCHI UUMPE MTOTO MDOGO WA KIUME KULIKO KUMPA MWANAMKE MTU MZIMA MWENYE AKILI TIMAMU.
Iko siku wanaume wataonekana hawana jema hata moja walilotenda jana, leo na hata kesho kama tutachagua wanaharakati wa jenda. Mimi mwalimu wangu mkuu katika somo la uumbaji ni viumbe wengine ambao siyo binadamu.

Kwakuwa Mungu ndiye aliyetuumba sisi na viumbe wote bila shaka kuna vitu na tabia amekusudia viwe sawa kwa viumbe wote na viumbe wote wa jinsia moja. Kwakuwa viumbe wote wanahitaji hewa, maji, chakula, kuzaa, kusogea, kwenda haja ndogo na kubwa na wanahisi joto, baridi na maumivu basi Mungu alitenda sawa kwa viumbe wote na tofauti ndogo sana kwa kazi maalumu.

Mimi nimefuga sana njiwa, kuku, bata, mbuzi, ng'ombe na mbwa. Nimechunga sana na kuwahudumia wanyama hawa tangu utotoni mpaka nikajifunza vitu vingi sana juu yao kiasi kwamba nilikuwa nikijirekebisha tabia yangu kwa kuwaangalia wanyama na ndege wanafanya na hawafanyi nini kwenye matukio tofautitofauti.

Sikuwahi kuona dume la mnyama, wala ndege, wala mdudu linalotunza wanawake. Wanawake wetu wanataka watunzwe na wanaume.

Picha tunayojengewa jamii hivi sasa ni ile ya wanaume ni wabaya sana, siyo wazuri, ni makatili, ni wezi, hawajui, hawana uchungu wala huruma, ni matajiri kuliko wanaume, wanapiga wanawake, wanadhulumu wanawake, hawafai, hivyo hawastahili hiki na kile. Kama jambo likisemwa sana mwinshowe inageuka kanuni, sheria na tabia.

Mbona hivi wanaume wanavyoishi na wake zao ndivyo hivyo na wanyama na ndege wanavyoishi na wanawake zao? Mimi sijawahi kuona jogoo anakwenda kumsaidia mkewe kuatamia mayai, wala kumpelekea chakula pale kwenye kiota.

Sijawahi kuona beberu anaruhusu beberu mwingine anatembea na mkewe akamuacha hivihivi. Sijawahi kuona kuku, ng'ombe, simba, mbwa wanaruhusu uchezee watoto wake kipumbavu lazima watakufanyia jambo ujue kuwa wanauchungu na watoto wao.

Lakini pia sijawahi kuona jike la kuku, simba, mbuzi , ng'ombe, nyati, mbwa, nzige, nyuki mkali linakataza mume wake asitembee na majike wengine kwenye kundi.

Mbona wanaume sisi tukiyafanya haya tunaonekana mabaladhuli tunaoonea wanawake? Kwanini sisi tunae Mungu wetu peke yetu na wanyama wana wa kwao?

Mwaka 2025 tunataka viongozi ambao wanawatendea haki wanaume kwa mujibu wa maumbile ya mwenyezi Mungu. Tuepuke wanaharakati wasiyopenda wanaume au wanawake, kila jinsia ipate haki yake kwa mujimu wa maumbile na makusudio ya muumbaji. Wanyama ndiyo wawe walimu wetu kwenye mambo ya jenda.

Kwakuanzia usichague mgombea ambae Hana mke, Hana mume, wametengana, ametelekezwa au anatumza watoto peke yake. Kiongozi wa hivi atalalia upande TU, atahamishia ugomvi wake upande ulee wenye ugomvi nae.
Wanataka waiteke dunia na Tz, wanaume tuamke tujue hatuko salama sana. Tusijidanganye eti kwa kuendelea kuoneshwa wanawake ni dhaifu sana, udhaifu wao walipewa n Mungu na siyo wanaume. Hivyo kama ni kosa walipewa na muumba wao tusitwishwe sisi, hatujawaumba site.

Naunga mkono hoja!
Chagueni yoyote yule ila atakayetangazwa kushinda ni Samia Suluhu Hassan, na HAMTAKUA NA LA KUFANYA

Take that to the bank
 
Bunge lenyewe limejaa wasimbe unategemea nini?
 
Chagueni yoyote yule ila atakayetangazwa kushinda ni Samia Suluhu Hassan, na HAMTAKUA NA LA KUFANYA

Take that to the bank
Tatizo letu sio Chama tawala, viongozi Wala tume ya uchaguzi bali wananchi wazembe wasioweza kuwatiisha wale wote waliowaweka madarani. Yaani kiongozi anakuwa myonge kwa wapigakura kabla na wakati wa uchaguzi, baada ya uchaguzi inageuka zamu ya wapigakura kuwa wanyonge kwa viongozi wao. Wasifia kila kitu kinafiki kama vile wafanyavyo madali kwa mteja wao. Tukiendelea kusifia TU kipumbavu ndiyo hayo unayosema yatatokea. Yaani wewe umempa kibarua house girl wako unamlipa kwa kazi alizoomba kuzifanya halafu wewe mnamsifia kila anachokifanya. Mnamfu hata akifagia, akipsha vyombo, akifua nguo, akipika, akinyoosha nguo na hata akienda gengeni kununua matembele ya kupika, unasahau kuwa hizo ndizo kazi zake alizoomba na kulipwa anacholipwa. Hata mkeo na majirani watashangaa wanapokisikia unamsifu house girl kiasi hiki.

Lazima viongozi wetu wajue kuwa wao ni vibarua wa wananchi waliowachagua na kazi Yao ni kufanya kile walichokiomba na kulipwa baasi.
 
Back
Top Bottom