Zito kugombea popote ruksa kwani ni haki yake ya kikatiba hivyo siyo habari kwangu, agombee asigombee yote sawa, nilikuwa namuadmire kama political role model wangu kwa vijana lakini tayari amereveal true color yake,ni mchumia tumbo tu kama walivyo wapinzani wengine waliomtangulia,akina Masumbuko Lamwai,Hiza Tambwe,Kaborou,Msabaha na wengine wa jamii hiyo.