lol! kuna siku nilikuwa napata msosi flamingo restaurant pale jnia, mende akawa anapanda ukuta pembeni yangu. nikamuita mhindi,nikamuambia thanks for this bonus! lilimshuka shuuu! namuonesha jinsi chini ya meza (kitako cha round) kulivyogina uchafu, na waitresses wakitoa uchafu mezani wanaweka kwenye ornamental plants! bongo ndo tunapata immunity kwa huu uchafu aisee!