Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 674
Nimekuwa kila nikipita maeneo ya masoko mengi yenye machinio ya kuku hapa Dar haswa Shekilango na Manzese ninarudishwa na harufu kali inayotoka kwenye machinjio hayo.
Cha kushangaza uongozi wa masoko hayo, serikali za mtaa na uongozi wa halmashauri zimekuwa kimya kabisa.
Kukiwa na mvua au manyunyu harufu ni kali ya uozo wa masalia ya kuku na damu.
Au hili tatizo naliona peke yangu? Viongozi wanapelekwa mbali humo hawafiki kabisa.
Hii imekaaje wadau?
Cha kushangaza uongozi wa masoko hayo, serikali za mtaa na uongozi wa halmashauri zimekuwa kimya kabisa.
Kukiwa na mvua au manyunyu harufu ni kali ya uozo wa masalia ya kuku na damu.
Au hili tatizo naliona peke yangu? Viongozi wanapelekwa mbali humo hawafiki kabisa.
Hii imekaaje wadau?