Uchafu kwenye ulimi wa mtoto mchanga

inyele

JF-Expert Member
Aug 8, 2017
1,645
1,258
Wakuu wasalam

Mtoto wangu mchanga mwenye siku 13 ana uchafu kama utando mweupe kwenye ulimi wake. Vile vile kuna kama viupele vidogo katika ulimi.

Mtoto ananyonya vizuri na hajaonesha dalili ya kushindwa kunyonya.

Je, hii hali ni kawaida na haitaleta shida mbeleni? Ikizingatiwa uchafu unaonekana kuongezeka kadri siku znaongezeka..

Je, kuna namna ya kumsafishia au dawa inayoweza kutumika kuondoa hili? Nakaribisha michango ya maoni na ushauri..
Asanteni
 
Uchafu ukizidi aweza asinyonye kabisa tafuta mti 1 hivi unaitwa mkela kela uchune kisha chukua kijiko utege ulipochuna au kata matawi yake dondoshea ule utomvu kwenye kijiko baadae chuku pamba safi ichovye kwenye utomvu msafishe ulimi mara 1 tu huo utando utaisha papo hapo.
Thank me later!
 
Uchafu ukizidi aweza asinyonye kabisa tafuta mti 1 hivi unaitwa mkela kela uchune kisha chukua kijiko utege ulipochuna au kata matawi yake dondoshea ule utomvu kwenye kijiko baadae chuku pamba safi ichovye kwenye utomvu msafishe ulimi mara 1 tu huo utando utaisha papo hapo.
Thank me later!
Kha wewe unataka kumuulia mwanae au

Nenda kwa docta wa watoto, huyo mtoto bado mdogo usimpe madawa wa kitu chochote bila ushauri wa daktari
 
Kha wewe unataka kumuulia mwanae au

Nenda kwa docta wa watoto, huyo mtoto bado mdogo usimpe madawa wa kitu chochote bila ushauri wa daktari
Mpe beer au konyagi.

Natania aisee fata ushauri wa huyu dada usifanye mambo kienyeji wakati hospitali zipo nenda hasa hospitali za serekali
Kamuone Paediatrician.
 
Asanteni, ushauri na mawazo yote ni mazuri!

Naamini humu jukwaani tupo watu wa aina nyingi wakiwemo wataamu wa afya ,, ndio maana nikaja humu kuzungumza na wajumbe kabla sijafanya lolote! Ushauri wa kitaalam natauzingatia zaidi.
 
π‘―π’Šπ’šπ’ π’Œπ’Šπ’•π’‚π’‚π’π’‚π’Žπ’– π’Šπ’π’‚π’Šπ’•π’˜π’‚ 𝒐𝒓𝒂𝒍 𝒕𝒉𝒓𝒖𝒔𝒉 𝒏𝒂 π’π’Š π’Žπ’‚π’‚π’Žπ’ƒπ’–π’Œπ’Šπ’›π’Š π’šπ’‚ π’‡π’–π’π’ˆπ’–π’” 𝒔𝒐 π’–π’π’‚π’•π’‚π’Œπ’Šπ’˜π’‚ π’–π’Žπ’‘π’† π’π’šπ’”π’•π’‚π’•π’Šπ’ π’”π’šπ’“π’–π’‘ 𝒂𝒖 π’Žπ’Šπ’„π’π’π’‚π’›π’π’π’† π’ˆπ’†π’ π’–π’Žπ’‘π’‚π’Œπ’† π’Žπ’…π’π’Žπ’π’π’Š 𝒏𝒂 π’–π’π’Šπ’Žπ’Šπ’π’Š 𝒇𝒐𝒓 𝒂𝒕 𝒍𝒆𝒂𝒔𝒕 7/5
 
Ilinitisha pia lakini nimeelekezwa na dokta ni kawaida ila unatakiwa kumsafisha,maji ya vuguvugu yaweke chumvi kidogo na tumia kitambaa kisafi.

Note;
Usitumie nguvu toa vinavyotoka

Kingsmann
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom