Wakuu wasalam
Mtoto wangu mchanga mwenye siku 13 ana uchafu kama utando mweupe kwenye ulimi wake. Vile vile kuna kama viupele vidogo katika ulimi.
Mtoto ananyonya vizuri na hajaonesha dalili ya kushindwa kunyonya.
Je, hii hali ni kawaida na haitaleta shida mbeleni? Ikizingatiwa uchafu unaonekana kuongezeka kadri siku znaongezeka..
Je, kuna namna ya kumsafishia au dawa inayoweza kutumika kuondoa hili? Nakaribisha michango ya maoni na ushauri..
Asanteni
Mtoto wangu mchanga mwenye siku 13 ana uchafu kama utando mweupe kwenye ulimi wake. Vile vile kuna kama viupele vidogo katika ulimi.
Mtoto ananyonya vizuri na hajaonesha dalili ya kushindwa kunyonya.
Je, hii hali ni kawaida na haitaleta shida mbeleni? Ikizingatiwa uchafu unaonekana kuongezeka kadri siku znaongezeka..
Je, kuna namna ya kumsafishia au dawa inayoweza kutumika kuondoa hili? Nakaribisha michango ya maoni na ushauri..
Asanteni