cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,722
- 137,470
wee huogopiii?Hata huyo ni kenge tu
wee huogopiii?Hata huyo ni kenge tu
Kuogopa Nini hata?wee huogopiii?
Umeambiwa ni hadithi?Hata sijaelewa,hadithi hii inatufundisha nini.
😍😍
Hii ki2 inauzwa wapi aithee,,nahitaji!!Ubuntu ni falsafa ya Kiafrika inayojulikana sana ambayo inasisitiza umoja, ushirikiano, na ustawi wa jamii. Neno "Ubuntu" linatokana na lugha za Kiafrika, hasa Kizulu na Kisotho, na linaweza kufasiriwa kwa kifupi kama "Mimi ni kwa sababu wewe uko" au "Mimi ni kwa sababu sisi tuko." Falsafa ya Ubuntu inasisitiza umuhimu wa mahusiano ya kijamii na jukumu la mtu binafsi katika jamii.
Katika muktadha wa Ubuntu, watu wanakumbushwa kuhusu wajibu wao kwa wengine na umuhimu wa kuwa na huruma, uvumilivu, heshima, na usawa katika mahusiano yao. Inalenga kukuza amani, usawa, na ustawi wa jamii kwa ujumla. Ubuntu inahimiza watu kushirikiana, kusaidiana, na kujenga uhusiano mzuri na wengine.
Ubuntu imekuwa na athari kubwa katika tamaduni na siasa za Kiafrika na imekuwa kichocheo cha mazungumzo na majadiliano juu ya maadili ya kibinadamu na jinsi ya kuishi pamoja kwa amani na ushirikiano.View attachment 2943587cc: adriz , Maghayo
K/koo maduka ya jezi 😁Hii ki2 inauzwa wapi aithee,,nahitaji!!
sawa mkuu ngoja nipande bodaboda niende chap kwa haraka zisije zikaisha!!!K/koo maduka ya jezi 😁
CCKatika muktadha wa Ubuntu, watu wanakumbushwa kuhusu wajibu wao kwa wengine na umuhimu wa kuwa na huruma, uvumilivu, heshima, na usawa katika mahusiano yao. Inalenga kukuza amani, usawa, na ustawi wa jamii kwa ujumla. Ubuntu inahimiza watu kushirikiana, kusaidiana, na kujenga uhusiano mzuri na wengine.
🤣🤣🤣CC
Wabunge wote wa Tanzania
Madiwani wote
Salma Kikwete
Chawa wote wa vyama vya siasa
Kuogopa Nini hata?
Hakujua kama sisi siyo milima,tutakutana.🤣🤣🤣🤣😂😂😂Hata huyo ni kenge tu
Inatufundisha kwamba hata milima hukutana na kugusana mvua ikinyesha.Hata sijaelewa,hadithi hii inatufundisha nini.
Hawataki Mdhamini timu ya familiaKwaiyo hao ndo wadhamini Wa mamelod au maana kifuani pale inatakiwa yakae maandishi ya mdhamini
🤣Ila hapa Bongo Ubuntu Botho watakufa tu aisee ingawaje wamejipanga kwa vita..