ubuntu

Ubuntu ( (listen) uu-BUUN-too) is a free and open-source Linux distribution based on Debian. Ubuntu is officially released in three editions: Desktop, Server, and Core (for internet of things devices and robots). All the editions can run on the computer alone, or in a virtual machine. Ubuntu is a popular operating system for cloud computing, with support for OpenStack.Ubuntu is released every six months, with long-term support (LTS) releases every two years. The latest release is 19.10 ("Eoan Ermine"), and the most recent long-term support release is 18.04 LTS ("Bionic Beaver"), which is supported until 2023 under public support and until 2028 as a paid option.Ubuntu is developed by Canonical, and a community of other developers, under a meritocratic governance model. Canonical provides security updates and support for each Ubuntu release, starting from the release date and until the release reaches its designated end-of-life (EOL) date. Canonical generates revenue through the sale of premium services related to Ubuntu.Ubuntu is named after the African philosophy of ubuntu, which Canonical translates as "humanity to others" or "I am what I am because of who we all are".

View More On Wikipedia.org
  1. Mufti kuku The Infinity

    Ubuntu Botho

    Ubuntu ni falsafa ya Kiafrika inayojulikana sana ambayo inasisitiza umoja, ushirikiano, na ustawi wa jamii. Neno "Ubuntu" linatokana na lugha za Kiafrika, hasa Kizulu na Kisotho, na linaweza kufasiriwa kwa kifupi kama "Mimi ni kwa sababu wewe uko" au "Mimi ni kwa sababu sisi tuko." Falsafa ya...
  2. poposindege

    Msaada kuhusu Ubuntu ndugu zangu

    Kama kichwa cha habari hapo juu. Ndugu zangu nimesakinisha Ubuntu 22.04 kwenye HP Elitebook Folio 1040. Nimefanikiwa mpaka mwisho lakini nikizima kuwasha tena inakataa. Nimejaribu kupita Google lakini sijaambulia kitu. Naomba mwenye ufahamu anielekeze namna ya kutatua tatizo hili...
  3. Keco Group ltd

    KWA WANAO FAHAMU SOFTWARE YA VIDEO EDIT & GRAPHICS KU INSTALL KWENYE UBUNTU

    Habari wanandugu wenzangu naomba kwa mtu anae fahamu software ya Video Editing na Graphics kwenye Ubuntu tuwasiliane nitamlipa.
  4. B

    Maisha ya UBUNTU na Kanuni zake 4

    Filosofiasoko pekee Afrika inayokamilishana na UBUNTU kutegua kitendawili mama cha familia za waAfrika tangu mataifa ya Afrika tuanze kupata uhuru (Libya 1951) zaidi ya nusu karne iliyopita . "Jinsi ya kupunguza ugumu wa maisha na kuongeza amani na furaha ya familia za waAfrika kwa kupata mfumo...
  5. Victor Mlaki

    Falsafa ya Kiafrika ya Ubuntu inavyoweza kusadia kupambana na ubadhirifu wa mali za Umma Tanzania

    Ubuntu ni falsafa ya Kiafrika inayosisitiza ushirikiano wa jamii kama msingi wa maisha bora. Ubuntu ni neno la Kingoni linalotafsirika kwa Kiswahili kama "mtu si mtu bali watu". Msingi wa falsafa hii ni mtu si mtu bali watu. Katika lugha ya Kihaya "Omuntu ti muntu ka ataliho bantu". Falsafa...
  6. kilama

    Naomba kujuzwa namna ya kurudisha mafaili yaliyopotea na kufanya partition katika Ubuntu

    Wakuu habarini za weekend! Samahani nimefanya installation ya UBUNTU na kuondoa wibdow 10 ila mafaili yangu yakiopo kwenye window 10 siyaoni, pia nimeshindwa kufanya partition katika UBUNTU. Naombe msaada wa kurudisha mafaili yangu na kufanya partition. Shukrani.
Back
Top Bottom