Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Hakuna program ya Linux inayotamba ulimwenguni kama vile Ubuntu Tunaweza sema ni baba wa Linux, ni Brandi kubwa katika ulimwengu wa Linux mpaka sasa.
Unajua Kwanini ??
Threads ni yako Kuna watu wengi ukiwauliza kuhusu Linux inawezekana wasikujibu lakini ukiwaambia kuhusu Ubuntu wataweza kujua nini unachowaambia.
Bado sijasema kwani unafikiri nimemaliza master Uzi uko chini relax
Kampuni ya Ubuntu Imetimiza zaidi ya miaka 19 mpaka kufikia Sasa toka kuanzishwa kwake.
Mara ya kwanza Os ya Kwanza ya Ubuntu iliachiwa octoba 20 Mwaka 2004.
Version ya mwanzo ya Ubuntu ilikua Ubuntu 4.10 ilikua inaitwa Warty Worth dogs ilikua imeachiwa pia kwa mfumo wa cd watu walikua na uwezo wa kuinstall Kwenye kompyuta kupitia cd.
Lakini mfumo wa Cd ulifungwa ilipofika mwaka 2012 walipoachia version ya Ubuntu 11.04 ili kupunguza gharama ya watu kusafirisha Cd wanazonunua kupitia mitandaoni.
Chimbuko la Ubuntu limetokea Afrika kusini ambapo neno Ubuntu limetokea Kwenye misemo ya kizulu ikiwa na maana " wa kipekee " Yani mtu wa kipekee Kwenye kundi la watu wengine.
Ilivumbuliwa na mjasiliamari anaitwa Mark shuttleworth kutoka marekani kupitia kampuni ya Canonical ltd lengo kubwa la Ubuntu ni kutumia mfumo wa open source ambao unatumika kwa Ajili ya kompyuta, simu pamoja na network Server.
Unajua Kwanini ??
Threads ni yako Kuna watu wengi ukiwauliza kuhusu Linux inawezekana wasikujibu lakini ukiwaambia kuhusu Ubuntu wataweza kujua nini unachowaambia.
Bado sijasema kwani unafikiri nimemaliza master Uzi uko chini relax
Kampuni ya Ubuntu Imetimiza zaidi ya miaka 19 mpaka kufikia Sasa toka kuanzishwa kwake.
Mara ya kwanza Os ya Kwanza ya Ubuntu iliachiwa octoba 20 Mwaka 2004.
Version ya mwanzo ya Ubuntu ilikua Ubuntu 4.10 ilikua inaitwa Warty Worth dogs ilikua imeachiwa pia kwa mfumo wa cd watu walikua na uwezo wa kuinstall Kwenye kompyuta kupitia cd.
Lakini mfumo wa Cd ulifungwa ilipofika mwaka 2012 walipoachia version ya Ubuntu 11.04 ili kupunguza gharama ya watu kusafirisha Cd wanazonunua kupitia mitandaoni.
Chimbuko la Ubuntu limetokea Afrika kusini ambapo neno Ubuntu limetokea Kwenye misemo ya kizulu ikiwa na maana " wa kipekee " Yani mtu wa kipekee Kwenye kundi la watu wengine.
Ilivumbuliwa na mjasiliamari anaitwa Mark shuttleworth kutoka marekani kupitia kampuni ya Canonical ltd lengo kubwa la Ubuntu ni kutumia mfumo wa open source ambao unatumika kwa Ajili ya kompyuta, simu pamoja na network Server.