Anakuja Yesu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 563
- 485
Ni ubunifu tu wakuu mbona wakati ule zamani walishona magunia na hakuna alie wauliza yalikuwa ya katani na yale km rangi ya udongo?si bange
HahahaLazima uvae Traki suti kwanza kabla ya kuivaa
haya ni matokeo ya matumizi ya mihadarati aina ya mirungi maana ile huwa ina corrode hadi ubongo