Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Tanzania ya viwanda oyeeeeeeeeee
Vitu vya kijingaMkuu mbona unafananisha bangi na vitu kijinga
Cc Faizafox bange=Bangi shule mnaenda....
nimependa "FLAISI" ameishona vizuri hadi pametuna sawa sawia
Muharango my pal please naamini wewe ni msomi mzuri tu ina maana hukuona kuwa hilo ni swali kwenye heading?We jamaa, ndio maana Waafrika hatuendelewi kwa kweli! mtu kabuni kitu kwa kutumia akili, malighafi pamoja na fedha zake alafu unasema ni Bangi! DAH! hilo ni zaidi ya tusi pia inapunguza morali ya kubuni vitu huku tukihofia matusi!
Nimeona, ila kuna watu hapa wanasema ni Bangi! inasikitisha sana!Muharango my pal please naamini wewe ni msomi mzuri tu ina maana hukuona kuwa hilo ni swali kwenye heading?
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Mimi nimeuliza kama ni bangE ama Ubunifu lakini kwenye jukwaa maranyingi watu hujibu wasivyoulizwa na kuongezea vyao wenyeweNimeona, ila kuna watu hapa wanasema ni Bangi! inasikitisha sana!
Ni ubunifu nduguMimi nimeuliza kama ni bangE ama Ubunifu lakini kwenye jukwaa maranyingi watu hujibu wasivyoulizwa na kuongezea vyao wenyewe
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Jamani mbona hatutaki kuwa wabunifu???? Hivi mmeona wanavyotumia magamba ya migomba kutengeneza nguo? Sasa ya migomba yamekuwa adimu sababu ya mnyauko ndo kijana kaja na viroba. Hivyo ndo viroba asilia achana na vile vijukuu vyenye maji maji makali. Tunanunua bei kubwa kupelekea uchafu nje ya mji. Ulizia wastaarabu wa Mbezi beach siyo wale wanasubiri mvua ili watiririshe pampers, condoms, pads na kila kitu, Mbezi beach kweli unakosa pesa ya kiroba unadiriki kusubiri mvua ya mwaka?? Kuna siku nitawafuatilia nione ni nyumba gani mnafanya upumbavu huu. nipo barabarani mimi ni victim wenu namba moja. Mshana mpe huyo jamaa gold medal ama siyo tutaonana vibaya. Bangi si bangi potelea mbali nayo ni chakula.
shikamoo dadaMarahaba kuna mtu kachokoza nyuki humu nipo naye.![]()
![]()
![]()
shikamoo dada
Utakuwa unaishi Somalia.Nimeshindwa kuvumilia mficha maradhi kifo kitamuumbua hivi koromije ndio nini?
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app