MkuyuMkubwa
Member
- Sep 27, 2009
- 50
- 0
Kuna taarifa kwamba mmoja wa wapiganaji wa vita dhidi ya ufisadi ndani ya CCM, kijana Nape amezidi kuweka mizizi jimbo la ubungo kuhakikisha anashinda kupitia ccm, huku wakati huohuo, kijana mwenzake John Mnyika akizidi kujipanga kujaribu tena bahati yake.....Binafsi ningetamani kuwaona wote, Mnyiks ns Nape wakiwa bungeni kila mmoja kupitia chama chake...lakini huu ni uchaguzi, ambao ni lazima mmoja apoteze ili mmoja ashinde.....changamoto kubwa ni kwamba wagombea wote wawili wana sifa zinazo fanana kuvutia wapiga kura. je, nani angefaa zaidi kama jf tungeamua?
1.Wote ni vijana
2.Wote wana majina makubwa...ingawa yanazidiana, nani kubwa zaidi?
3.Wote wasomi, ingawa wanazidiana, anani zaidi?
4.Wote wanajitambulisha kama wapinga ufisadi, nani zaidi?
NANI NI NANI HAPA?...TUMPOTEZE NANI? TUMPATE NANI?
1.Wote ni vijana
2.Wote wana majina makubwa...ingawa yanazidiana, nani kubwa zaidi?
3.Wote wasomi, ingawa wanazidiana, anani zaidi?
4.Wote wanajitambulisha kama wapinga ufisadi, nani zaidi?
NANI NI NANI HAPA?...TUMPOTEZE NANI? TUMPATE NANI?